numis
Senior Member
- May 25, 2017
- 176
- 188
Mbn kwangu bado haijarudi 4g mpak saiviWalikua na shida kweny 4g network, ila tangu jana wakopoa na 4g inapanda fresh tu
Zantel
Mbn kwangu bado haijarudi 4g mpak saiviWalikua na shida kweny 4g network, ila tangu jana wakopoa na 4g inapanda fresh tu
Zantel
Imesharudi 4g... Jaribu kubadilisha network mode/type itapandaMbn kwangu bado haijarudi 4g mpak saivi
Zantel hawapo vizuri Kama mnavyowasifia humuImesharudi 4g... Jaribu kubadilisha network mode/type itapanda
Wako vizur tu, bando zinaridhisha network mtelezoZantel hawapo vizuri Kama mnavyowasifia humu
Jinga wewe, me nimenunua laini juzi tu, kwa ufupi hamna kitu,Wako vizur tu, bando zinaridhisha network mtelezo
Jinga wewe, me nimenunua laini juzi tu, kwa ufupi hamna kitu,
Ukweli wanaridhisha kulikohalotel kwa Sasa.Zantel hawapo vizuri Kama mnavyowasifia humu
Nipo Arusha mjini najiachia kwa zantel, Bei cheeJinga wewe, me nimenunua laini juzi tu, kwa ufupi hamna kitu,
Vocha unanunua kwa MbeyaNiko Mbeya na ninatumia fresh tu.
Yap na leo nimenunulia Kigoma, nenda kwa mawakala wa mitandao wanakuuzia kupitia Tigo pesa au M-pesa.Vocha unanunua kwa Mbeya
Hakuna wa kukudanganya mekuHabarini waungwana.
Nadhani mnakumbuka sekeseke la vifurushi kupanda lilivyoitikisa Tanzania na viunga vyake maana hadi sasa inakadiriwa Tanzania ina watumiaji wa internet million 32.
Pamoja na kwamba TCRA na Rais wa awamu ya sita mama, kuongelea kuhusu hili lakini dizaini kama vile makampuni ya simu yameweka mgomo baridi kwenye kushusha vifurushi vyao, mitandao mingine wameamua kabisa tena kwa makusudi kuondoa hata zile ofa ambazo wengine walikuwa wanaponea, mfano bando za usiku, bando za chuo n.k.
Nyinyi mtakuwa mashahidi 1GB inauzwa ghali kabisa na mitandao ya Vodacom, Tigo na hata Airtel, ni halotel pekee na TTCL wanauza 1 GB kwa 1000 ila hata hao haloteli mtandao wao kama Airtel, nunua bundle network tafuta mwenyewe. Na wakikupa hiyo 1GB dakika za kuongea hawakupi. Wakikupa ni haloteli kwenda haloteli.
Zantel wamekuja na mapinduzi ya kufa mtu. Kwa 1500 unapata 1.5GB, dakika 160 mitandao yote na sms 500. Hamna mtandao wenye ofa kama hiyo na hapo hapo internet yao ina kasi ya kufa mtu. Mie niko maporini huku lakini kama niko jijini dar es salaam. Tumieni zantel wakuu hamtajuta.
Nina line 6 za simu mtu hanidanganyi kitu chochote kuhusu mtandao wowote. Nimeandika baada ya kufanya research yangu ndogo tu.
Uzi tayari.
Mi nilienda mbeya mpk kyela migombani network ipo huenda kuna mtandao wanashirikiana nao ila tatizo vocha hadi urushiwe na mtu kutoka Dar!Mkoani ni tatizo hawa watu. Kipindi cha nyuma nilikuwa natumia
ChembaZantel ofisi zao DODOMA ziko wapi ?!