Nimegundua utajiri upo shambani

Nimegundua utajiri upo shambani

Sasa mkuu kabla ya kuingia shamba inakupasa ufanye research za masoko almost yote na nje ya mkoa.
Kabla ya kuingia shamba kuna vitu unapaswa kuvichunguza kwanza kama soko, ardhi, maji, usalama n.k ni somo refu linalohiaji uzi wake special
Hiyo haisaidii sana bado.

Bidhaa za kilimo kwa asili bei zake ni too elastic.

Kupata tija kwenye kilimo ni kulima kwa mkataba au kusindika au niseme kuongezea thamani mazao/bidhaa za kilimo.

Lakini pia kilimo kinahitaji muda ku scale.

Trust me kama hutopata mtu mzoefu na kuwa tayari kusubiri mafanikio kwa muda mrefu (which is hard for many people) unaweza give up.

Sifahamu kila kitu. Ni vile uzoefu wangu kwa niliyoyaona kwenye kilimo cha kitanzania (pia kumbuka siasa zinaathiri kilimo. And you can't do nothing to change this)

Mwisho niseme tu, go right ahead.

I have my opinion but can't tell people what to think.
 
Mada nzuri sana. Hakuna kitu kizuri kama kujiajiri, kuajiriwa ni utumwa japo nami nimeajiriwa ila nikipata fursa naitumia kama changamoto then nafanya mambo yangu binafsi.

SOMA KISA HIKI.
Bwana mmoja alikuwa akifanya kazi benki kwa wakati huo alikuwa akilipwa kati ya laki5 hadi6,
Ili kutunza status akaamua kuchukua mkopo na kununu gari.
ukitoa makato ya mkopo akawa anapokea kati ya laki4 na 4½.

Siku moja akamtembelea rafiki yake aliyekuwa na huduma ya kuosha magari (car-wash) walifanikiwa kupiga stori za hapa na pale akashangaa kumuona rafiki yake akiwa na furaha na amani muda wote ukizingatia kazi ya kuosha magari ni ngumu na changamoto za hapa na pale.

Jamaa akatamani sana kujua kwanini rafiki yake huyo ambaye licha ya kuwa muosha magari lakini bado maisha yake yanaendelea vizuri tofauti na yeye alivyodhani huenda ingekuwa ni kazi ya kijungujiko (kazi isiyo na faida).

Yule jamaa akamwambia wacha nikuelezee namna ambavyo natengeneza pesa kupitia kuosha magari.
Akamwambia kwa siku ana uwezo wa kuosha magari 25 hadi 30 na kila gari bei ni kuanzia elfu7 hadi elfu10 kwa mahesabu ya haraka ina maana kwa siku ana uwezo wa kutengeneza kati ya laki2½ hadi laki3.
Hapo hajakatwa kodi na anakula chakula cha kibandani (kibanda umiza) ambacho nacho ni pesa kidogo kama elfu2 akitoa gharama za eneo na kuwalipa wasaidizi wake akasema kwa siku anaweza akaondoka na laki2.

Kwa mwezi it means anatengeneza kati ya m4.

NOTE: Hebu niambie ni mtumishi gani wa umma wa kawaida ukiachilia mbali wale ambao pengine ni wanasiasa au wako kitalani ambaye analipwa m4 per month?

Utumishi kwa maana nyingine ni utumwa
Chukua hatua, jiongeze.
 
Huyu Mleta Mada sijui hata kama anaelewa misamiati ya biashara itokanayo na mazao ya kilimo !
Mfano ukiulizwa uelezee unaelewaje juu ya " stakabadhi ghalani"?!
 
Wote tukifanya hiyo kazi utamuuzia nani? Tuache wengine tuendelee kumtumikia jiwe
 
Ni rahisi sana kinadharia! Ila kivitendo sina uhakika sana.
Kilimo sio lelemama kama mtoa mada anavyo daily au biashara soo kila sehemu biashara inalipa
Afu nikajua asha fanya hicho kilimo kumbe porojo
Nimekulia kwa walimaji wazuri wa mpunga na mahindi najua ilivyo na garama hasa ukitaka kilimo cha kisasa
Mtoa mada kama una mtaji kalime
 
Hivi tajiri ambae ni mkulima tu ni nani hapa TZ.Watu wenye pesa ni wafanya biashara sio wakulima.Wakulima ni watu wa kuliwa tu.Ukumbuke kutupa mrejesho maana mvua ndio zinaanza hivi.Karibu kigoma kuna mvua ma mapori ya uhakika.
Nawafahamu kadhaa hivi
Ila kuna jamaa anaitwa Riziki yupo Tarime, mwaka 2015 bei za vyakula zilipokuwa juu alivuna gunia elfu 300 za mahindi na wakati huo gunia lilitoka kwa sh 120,000 sasa jiulize alipata sh ngapi ndo uje kupinga hapa.

Agro business ni poa sana usilemae
 
Mada nzuri sana. Hakuna kitu kizuri kama kujiajiri, kuajiriwa ni utumwa japo nami nimeajiriwa ila nikipata fursa naitumia kama changamoto then nafanya mambo yangu binafsi.

SOMA KISA HIKI.
Bwana mmoja alikuwa akifanya kazi benki kwa wakati huo alikuwa akilipwa kati ya laki5 hadi6,
Ili kutunza status akaamua kuchukua mkopo na kununu gari.
ukitoa makato ya mkopo akawa anapokea kati ya laki4 na 4½.


Siku moja akamtembelea rafiki yake aliyekuwa na huduma ya kuosha magari (car-wash) walifanikiwa kupiga stori za hapa na pale akashangaa kumuona rafiki yake akiwa na furaha na amani muda wote ukizingatia kazi ya kuosha magari ni ngumu na changamoto za hapa na pale.

Jamaa akatamani sana kujua kwanini rafiki yake huyo ambaye licha ya kuwa muosha magari lakini bado maisha yake yanaendelea vizuri tofauti na yeye alivyodhani huenda ingekuwa ni kazi ya kijungujiko (kazi isiyo na faida).

Yule jamaa akamwambia wacha nikuelezee namna ambavyo natengeneza pesa kupitia kuosha magari.
Akamwambia kwa siku ana uwezo wa kuosha magari 25 hadi 30 na kila gari bei ni kuanzia elfu7 hadi elfu10 kwa mahesabu ya haraka ina maana kwa siku ana uwezo wa kutengeneza kati ya laki2½ hadi laki3.
Hapo hajakatwa kodi na anakula chakula cha kibandani (kibanda umiza) ambacho nacho ni pesa kidogo kama elfu2 akitoa gharama za eneo na kuwalipa wasaidizi wake akasema kwa siku anaweza akaondoka na laki2.


Kwa mwezi it means anatengeneza kati ya m4.

NOTE: Hebu niambie ni mtumishi gani wa umma wa kawaida ukiachilia mbali wale ambao pengine ni wanasiasa au wako kitalani ambaye analipwa m4 per month?

Utumishi kwa maana nyingine ni utumwa
Chukua hatua, jiongeze.
Asante mkuu idea nzuri sana.
 
Ww jamaa noma
Naona kabisa Mtu atakavyoangukia pua kuhusu hilo, Kilimo kinachosha, kinazeesha, kinatia huzuni na simanzi sana pia kinaweza kukupa presha na mwisho wa siku utajikuta unaongea peke yako tu, na sababu za hayo yote ni Mkulima kutokuthaminiwa, kupangiwa bei, kupewa masharti namna ya kuuza mazao yake na kubwa zaidi kutokupata soko la uhakika, hapo bado hujasumbuliwa na hali ya hewa(mvua nyingi au kuwa na mvua kiduchu mpk mazao kama Mahindi kuzalia chini kama karanga)
 
Back
Top Bottom