Nimegundua,nina mkosi

Nimegundua,nina mkosi

kambagasa

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
2,271
Reaction score
1,809
Si bure nimegundua mungu ameshanitegea mgongo!!
Ni shabiki mkubwa wa UKAWA dkk za majeruhi tumekatwa!!
Naishabikia Arsenal nayo tumekatwa!!
Ni mpenzi wa Real Madrid FC nayo tumekatwa pia namzimia Maalimu Seifu naye kakatwa na Jecha huko Zanzibar😕😕
 
Ha ha haaa

Serious kabisa ndugu unaweza fikiri nawatania lakini nakuomba uangalie posti zangu utakubaliana na mimi. Kesho acha tu nikatubu kanisani huenda kuna kitu mungu nimemkwaza.
 
Serious kabisa ndugu unaweza fikiri nawatania lakini nakuomba uangalie posti zangu utakubaliana na mimi. Kesho acha tu nikatubu kanisani huenda kuna kitu mungu nimemkwaza.

Nina tiba ya mikosi ukujee
 
Hao wote sio baba wala mama zako, mimi mwenyewe hapa ukawa moja+Chelsea vibonde, kwahiyo wewe potezea tu
 
Kitu kikikuumiza haimaanishi mkosi ila angalia ni nini kimepelekea.Kwa mfano mimi ni Arsenal damu lakini Wenger ndio chanzo jaribu kumcheki kiundani toka msimu wa 2006/2007 ndo utagundua huyu mzee alishafikia kikomo cha kufanikiwa siku nyingi.Kilichobaki sasa ni kumsubiria aondoke maana amekuwa kama Mugabe.
 
Kitu kikikuumiza haimaanishi mkosi ila angalia ni nini kimepelekea.Kwa mfano mimi ni Arsenal damu lakini Wenger ndio chanzo jaribu kumcheki kiundani toka msimu wa 2006/2007 ndo utagundua huyu mzee alishafikia kikomo cha kufanikiwa siku nyingi.Kilichobaki sasa ni kumsubiria aondoke maana amekuwa kama Mugabe.

Mkuu hata Maalimu Seifu😕😕:what:
 
Si bure nimegundua mungu ameshanitegea mgongo!!
Ni shabiki mkubwa wa UKAWA dkk za majeruhi tumekatwa!!
Naishabikia Arsenal nayo tumekatwa!!
Ni mpenzi wa Real Madrid FC nayo tumekatwa pia namzimia Maalimu Seifu naye kakatwa na Jecha huko Zanzibar😕😕

Utakua team kiba
 
Si bure nimegundua mungu ameshanitegea mgongo!!
Ni shabiki mkubwa wa UKAWA dkk za majeruhi tumekatwa!!
Naishabikia Arsenal nayo tumekatwa!!
Ni mpenzi wa Real Madrid FC nayo tumekatwa pia namzimia Maalimu Seifu naye kakatwa na Jecha huko Zanzibar😕😕

Duh! poleee... uliona hivyo ujue zamu yako ya kukatwa ndo inakaribia. mkabidhi mungu maisha yako
 
Hao wote sio baba wala mama zako, mimi mwenyewe hapa ukawa moja+Chelsea vibonde, kwahiyo wewe potezea tu

Karibu OT club tajiri kuliko zote dunian...pesa ipo hata tukitupwiamo hamna stress
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom