Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Kisa tuu nimeshidwa kumchangia hela ya gauni la 100,000 kwa ajiri ya engagement basi sasa hivi kaninunia na kunikasirikia
Na sio kama nimeshidwa kumchangia la hasha sasa hivi nina mambo mengi ikiwemo gharama za mahali na vikorokoro kibao natakiwa kuvitimiza siku ya engagement japo nilijaribu kumuelezea hali halisi anaonekana hanielewi
Hapa nilipo nawaza kweli huko mbeleni hali itakuweje?
Na sio kama nimeshidwa kumchangia la hasha sasa hivi nina mambo mengi ikiwemo gharama za mahali na vikorokoro kibao natakiwa kuvitimiza siku ya engagement japo nilijaribu kumuelezea hali halisi anaonekana hanielewi
Hapa nilipo nawaza kweli huko mbeleni hali itakuweje?