Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,515
Yaani sina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu. Ukifanya vizuri hata kama juzi tumetukanana nitakusifia kuwa hapo umefanya vizuri.
Ukikosea hata kama asubuhi nimeamka na wewe na ni mrembo sana nitakuambia ukikasirika shauri yako mi nimeshakuambia. Hata kama ni jamaa,mshkaji,ndugu au rafiki wa karibu nakwambia tu ukichukia sawa ukielewa sawa maisha yanaendelea.
Na kama nlikosea sehemu ukanyamaza na ukijua nimekosea au nakosea ntakuja kukwambia tu kuwa hiyo ni roho mbaya. Ya kichawi na kinafiki. Mkosoe mwenzio na mrekebishe.
Humu JF nmejikuta ninaendelea na tabia hiyo hiyo...nikiona mtu anataka attention za kipuuzi au kuwalisha watu matango pori au uyoga wenye sumu namchana tu. Haijalishi dk kadhaa zilizopita alisifia au kukandia uzi wangu.
Style hii ya maisha inanifanya niwe na amani muda wote. Sijali wala nini. Na sina stress na sibebi kinyongo au chuki. Mi nakutapikia nyongo.nabaki mwepesi nasonga zangu mbele.
Hii si tabia ya kawaida TENA KWA WATANZANIA. NI WANAFIQ SANA. NDO MAANA NIKAWA NAAMBIWA NA WATU MI SI WA KAWAIDA.
Nimekaa pale. 👉
Ukikosea hata kama asubuhi nimeamka na wewe na ni mrembo sana nitakuambia ukikasirika shauri yako mi nimeshakuambia. Hata kama ni jamaa,mshkaji,ndugu au rafiki wa karibu nakwambia tu ukichukia sawa ukielewa sawa maisha yanaendelea.
Na kama nlikosea sehemu ukanyamaza na ukijua nimekosea au nakosea ntakuja kukwambia tu kuwa hiyo ni roho mbaya. Ya kichawi na kinafiki. Mkosoe mwenzio na mrekebishe.
Humu JF nmejikuta ninaendelea na tabia hiyo hiyo...nikiona mtu anataka attention za kipuuzi au kuwalisha watu matango pori au uyoga wenye sumu namchana tu. Haijalishi dk kadhaa zilizopita alisifia au kukandia uzi wangu.
Style hii ya maisha inanifanya niwe na amani muda wote. Sijali wala nini. Na sina stress na sibebi kinyongo au chuki. Mi nakutapikia nyongo.nabaki mwepesi nasonga zangu mbele.
Hii si tabia ya kawaida TENA KWA WATANZANIA. NI WANAFIQ SANA. NDO MAANA NIKAWA NAAMBIWA NA WATU MI SI WA KAWAIDA.
Nimekaa pale. 👉