Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,688
Wewe unayejua inapaswa utuambie
Sio vibaya kupost ila unapaswa kujichunga na yale unayoya-post.
Alafu usipende kutumia wingi kwa mambo uliyoyahitaji mwenyewe.
"Utuambie" neno hilo linaashiria mpo wengi wakati ni wewe mwenyewe unashida.
Pia wewe si ulisoma Physics?
Sasa shuleni ulienda kufanyaje huko ukiwa hujui mambo madogo Kama hayo.
Yaani HR 666. Umezidisha mzaha humu JF