Nimegundua App Developers tunakosa ubunifu na kujua jamii inataka nini

kali linux

JF-Expert Member
May 21, 2017
1,996
5,054
Hello bosses.

Unajua app developers wengi(according to my simple research) tuna tatizo ambalo wengine husema tunakosa creativity na kugundua vitu vipya. Lkn kiukweli wengi wetu ni computer addicted kiasi kwamba hatujui watu wanataka nn coz most of the time unakuta mtu yupo bize na computers tu, ila hawi social na kujua jamii inataka nn.

So nmefungua uzi huu makusudi ili kila mtu aweze kukoment idea/wazo au tatizo ambalounataka liwe solved kwa kutengeneza app. Najua wengine mnaweza kuwa mna mawazo confidential, thats okay. Lkn kwa wale wenye mawazo yaliyoopen na ambayo yanaweza kusaidia jamii zetu basi ni bora tujuzane wakuu.

Me na admit we have skills but unfortunately we gotta no ideas naona sababu kuu ya hili ni kuspend mda mwingi na computers kuliko kukaa na watu ili kuelewa matatizo yao na kutafuta the way kusolve
 
Atleast umegundua hilo, heko. Na chengine kucode na kudesign ni vitu viwili tofauti, jitahidi kutafuta ma artist mfanye nao kazi ili vitu vyenu vivutie kwenye macho ya mtumiaji. Nitajitahidi kurudi tena.
Yap mkuu hili nalo ni la muhimu kweli katika hii field yetu. Ukiangalia makampuni kama maya inc unaona wana maartist maalum kabisa wao hawana idea na coding ila wanagive ideas on how the products should appear.
 
mimi shida yangu ipo kwenye security na privacy...
hivi mnashindwa nini hata ku hire pen tester acheki security zenu ..
shida moja iliyoko kwa madeveloper wakibonga wao kila kitu ndio waowao,,,
almost website zote na app za bongo ni vulnerable to be hacked..
tldr:bongo developer ni jack of all trades and master of none
 
mimi shida yangu ipo kwenye security na privacy...
hivi mnashindwa nini hata ku hire pen tester acheki security zenu ..
shida moja iliyoko kwa madeveloper wakibonga wao kila kitu ndio waowao,,,
almost website zote na app za bongo ni vulnerable to be hacked..
tldr:bongo developer ni jack of all trades and master of none
Mkuu sio wote tuko hivo. Mm kuhusu pentesting nna watu wangu ambao hua ndo wananifanyia hio kazi.. of coz apps nyng ni vulnerable na zina loopholes nyng sana na utakuta loopholes zote zinafanana hii inamaanisha kwamba devs wengi hupenda kucopy na kupaste vulberable scripts bila kujali security and privacy issues

Mfano ukijaribu kucrack baadhi ya apps za kibongo. Almost 90% percent ya apps zinanionesha kila kitu yaan kwa wale wataalam ni ku decompile hizo apks.

App ambayo iko vzr utakuta ukiicrack unapata tu res folder lkn hz za kibongo unapata hadi smali code(java code in android's assembler language called smali) ambapo hizo smali file nkiziconvert kuja kuwa java files napata almost kilakitu na hapo najua mtu kaicode vp hio app na itakua virahisi kwa mwizi kuiba data kwani tyr anajua logic ilotumika.

Developers tuwe makini sana katika swala la security and privacy. Kama unahitaji msaada wa hilo tunaweza kuwasiliana coz sie tunakustestia app yako bure kwa sasa
 
Mkuu sio wote tuko hivo. Mm kuhusu pentesting nna watu wangu ambao hua ndo wananifanyia hio kazi.. of coz apps nyng ni vulnerable na zina loopholes nyng sana na utakuta loopholes zote zinafanana hii inamaanisha kwamba devs wengi hupenda kucopy na kupaste vulberable scripts bila kujali security and privacy issues

Mfano ukijaribu kucrack baadhi ya apps za kibongo. Almost 90% percent ya apps zinanionesha kila kitu yaan kwa wale wataalam ni ku decompile hizo apks.

App ambayo iko vzr utakuta ukiicrack unapata tu res folder lkn hz za kibongo unapata hadi smali code(java code in android's assembler language called smali) ambapo hizo smali file nkiziconvert kuja kuwa java files napata almost kilakitu na hapo najua mtu kaicode vp hio app na itakua virahisi kwa mwizi kuiba data kwani tyr anajua logic ilotumika.

Developers tuwe makini sana katika swala la security and privacy. Kama unahitaji msaada wa hilo tunaweza kuwasiliana coz sie tunakustestia app yako bure kwa sasa
as a said almost,yaani sio wote
hicho ulichoona ni kweli,na ndio shida ya developer wengi wa kibongo,kama mtu anatengeneza website kwa laki moja up to 5
unategemea security hapo kweli.?
kwangu mimi security ni important kuliko designer
 
kali linux kama vipi tengeneza app ya jamiiForums+ ili umchallenge mshkaji Maxence Melo
Nini cha kufanya?

Nenda kwenye uzi ule watu waliokuwa wanalalamika maboresho yanayotakiwa hapa JamiiForums then chukua mawazo yao yafanyie kazi.
hata ukitengeneza another forum who the hell will use it?
kwangu mimi jamii forum ndio best..reason ni
1.jf founder anajulikana ni nani na msimamo wake
2.jf ina protect privacy ya wateja wake...
ulishasikia member aliyepost jf kapelekwa korokoroni?
3.privacy policy ya jf its best..
only in tanzania ukitaka ureport crime,or corruption anonymous website ya polisi
wanataka jina lako:mad:,namba ya simu,email yako,mahali unapokaa really:cool:?
4.zipo reason nyingi sana,,ila jf has won our hearts :cool:
je tutakuaminiji na site yako mpya kama wewe sio chakubanga:D?
 
as a said almost,yaani sio wote
hicho ulichoona ni kweli,na ndio shida ya developer wengi wa kibongo,kama mtu anatengeneza website kwa laki moja up to 5
unategemea security hapo kweli.?
kwangu mimi security ni important kuliko designer

Mkuu kwa mm naona bei ndg haioneshi kwamba security ni ndg, ila cha muhimu ni uaminifu na commitment at work. Bei ndogo on positive side ni uzalendo coz watu wengi wanatamani kumiliki apps na sites ila bei zinakua juu sana, so dev anaweza kuja na bei ndg ili awasaidie watu. But on negative side ndo unaakuta mtu anafanya kazi recklessly coz bei ni ndg na hapo ndo security issues zinaarise
 
kali linux kama vipi tengeneza app ya jamiiForums+ ili umchallenge mshkaji Maxence Melo
Nini cha kufanya?

Nenda kwenye uzi ule watu waliokuwa wanalalamika maboresho yanayotakiwa hapa JamiiForums then chukua mawazo yao yafanyie kazi.

Siwezi fanya hii kitu coz jf hata kwa sasa jinsi ilivyo ni nzuri sana hasahasa upande wa security na privacy. Pia jf haiko kama mitandao mingne kama fb ambayo iko money-oriented kiasi kwamba inafanya big data selling yaan inauza data za users wake. Ndo maana wamiliki wanakua matajiri afu ukigoogle sources of income kama kwa fb utaambiwa ni ads na nyngne unaambiwa kabisa ziko private. For jf huyo founder yuko radhi hata kwenda mahakamani kisa watumiaji wake, this is enough for the better site.

Wanaolalamika ni kwamba binadamu tu hua haturidhiki na katika hizi sites na apps hua kuna vijimakosa vinatokeaga so cha muhimu ni kuvumiliana

@kanugila karem
 
hata ukitengeneza another forum who the hell will use it?
kwangu mimi jamii forum ndio best..reason ni
1.jf founder anajulikana ni nani na msimamo wake
2.jf ina protect privacy ya wateja wake...
ulishasikia member aliyepost jf kapelekwa korokoroni?
3.privacy policy ya jf its best..
only in tanzania ukitaka ureport crime,or corruption anonymous website ya polisi
wanataka jina lako:mad:,namba ya simu,email yako,mahali unapokaa really:cool:?
4.zipo reason nyingi sana,,ila jf has won our hearts :cool:
je tutakuaminiji na site yako mpya kama wewe sio chakubanga:D?

Read my reply mkuu
 
Mkuu kwa mm naona bei ndg haioneshi kwamba security ni ndg, ila cha muhimu ni uaminifu na commitment at work. Bei ndogo on positive side ni uzalendo coz watu wengi wanatamani kumiliki apps na sites ila bei zinakua juu sana, so dev anaweza kuja na bei ndg ili awasaidie watu. But on negative side ndo unaakuta mtu anafanya kazi recklessly coz bei ni ndg na hapo ndo security issues zinaarise
Haha mkuu i believe you get what you pay for ,,,,
show me a 100k website i will show you a million vulnerabilities
 
Ivi kuna programmer wa bongo anayejua duniani kuna kitu kinaitwa "block chain"?

Sent using Jamii Forums mobile app

Au unataka tukutengenezee kabisa?? Kama una idea sema tuifanyie kazi.

Kwa tanzania the blockchain technology sidhan kama itakua successful sana labda itumike kwa other uses ila sio business na finance coz kwa sheria za tanzania it is very hard to implement. Na ndo maana hata yakamoto(founder wa blockchain tech) wako anonymous coz wangepata government issues nyng kama wangejiexpose. Reasons za hio issue ni kwamba blockchain is not centralized, kiasi kwamba hakuna mtu ambae anagovern the working of it. Sasa serikali nyng haziwezi kukubali hii kitu.

Let me try kufungua uzi khs block chain ili tupate kushare nn tunajua kuhusu hii tech na pia wengine wapate kujifunza.
 
Back
Top Bottom