Nimefuta namba zake zote

Kuna msichana niliingia nae kwenye mahusiano kama miezi sita iliyopita na najitahidi kumtatulia shida zake kadri ya uwezo wangu.Yeye hana chakunipa zaidi ya papuchi tu sababu hana ajira na hata kama angekua nayo binafsi huwa sipendi kumuomba mtoto wa kike pesa hata kama nina shida na najua ana mshahara.

Kwa siku chache za hivi karibuni amekua na tabia ya kukaa kimya kama hayupo, kusalimia asubuhi mpaka nianze mimi na nisipofanya hivyo na yeye anakaa kimyaaaa Ila nikitaka kumuacha ni mwepesi sana wa kujitetea na kuomba msamaha.

Leo nimeamua kufuta namba zake zooooote za simu ili nisishawishike kumtafuta sababu kwa upande wangu sina tabia ya kukariri namba za simu za mpenzi wangu, zikiwepo tu kwenye phone book inatosha sana.Nimeamua kufanya hivi ili nimuache mazima.

Je nitakua nimefanya kosa kufuta namba zake ?
Ni kosa kutokujua kama ni kosa au la kufuta namba zake.
 
Kuna msichana niliingia nae kwenye mahusiano kama miezi sita iliyopita na najitahidi kumtatulia shida zake kadri ya uwezo wangu.Yeye hana chakunipa zaidi ya papuchi tu sababu hana ajira na hata kama angekua nayo binafsi huwa sipendi kumuomba mtoto wa kike pesa hata kama nina shida na najua ana mshahara.

Kwa siku chache za hivi karibuni amekua na tabia ya kukaa kimya kama hayupo, kusalimia asubuhi mpaka nianze mimi na nisipofanya hivyo na yeye anakaa kimyaaaa Ila nikitaka kumuacha ni mwepesi sana wa kujitetea na kuomba msamaha.

Leo nimeamua kufuta namba zake zooooote za simu ili nisishawishike kumtafuta sababu kwa upande wangu sina tabia ya kukariri namba za simu za mpenzi wangu, zikiwepo tu kwenye phone book inatosha sana.Nimeamua kufanya hivi ili nimuache mazima.

Je nitakua nimefanya kosa kufuta namba zake ?
nilijua mke wa mugabe anataka kuja kuishi uhamishoni kwako
 
Kuna msichana niliingia nae kwenye mahusiano kama miezi sita iliyopita na najitahidi kumtatulia shida zake kadri ya uwezo wangu.Yeye hana chakunipa zaidi ya papuchi tu sababu hana ajira na hata kama angekua nayo binafsi huwa sipendi kumuomba mtoto wa kike pesa hata kama nina shida na najua ana mshahara.

Kwa siku chache za hivi karibuni amekua na tabia ya kukaa kimya kama hayupo, kusalimia asubuhi mpaka nianze mimi na nisipofanya hivyo na yeye anakaa kimyaaaa Ila nikitaka kumuacha ni mwepesi sana wa kujitetea na kuomba msamaha.

Leo nimeamua kufuta namba zake zooooote za simu ili nisishawishike kumtafuta sababu kwa upande wangu sina tabia ya kukariri namba za simu za mpenzi wangu, zikiwepo tu kwenye phone book inatosha sana.Nimeamua kufanya hivi ili nimuache mazima.

Je nitakua nimefanya kosa kufuta namba zake ?

Je na picha / taswira ya Mbunye yake na yenyewe pia umei ' delete ' katika mbichwa wako huo?
 
Hapa unanikumbusha nilivokuwa nagawa nusu ya salary aloo hawa viumbe wanasababisha tuwe n mioyo mipana https://jamii.app/JFUserGuide
 
Akina Mugabe wapo wengi sana!kuandika tu hii thread ni dalili kwamba beki zako hazikabi umekwama
 
Kuna msichana niliingia nae kwenye mahusiano kama miezi sita iliyopita na najitahidi kumtatulia shida zake kadri ya uwezo wangu.Yeye hana chakunipa zaidi ya papuchi tu sababu hana ajira na hata kama angekua nayo binafsi huwa sipendi kumuomba mtoto wa kike pesa hata kama nina shida na najua ana mshahara.

Kwa siku chache za hivi karibuni amekua na tabia ya kukaa kimya kama hayupo, kusalimia asubuhi mpaka nianze mimi na nisipofanya hivyo na yeye anakaa kimyaaaa Ila nikitaka kumuacha ni mwepesi sana wa kujitetea na kuomba msamaha.

Leo nimeamua kufuta namba zake zooooote za simu ili nisishawishike kumtafuta sababu kwa upande wangu sina tabia ya kukariri namba za simu za mpenzi wangu, zikiwepo tu kwenye phone book inatosha sana.Nimeamua kufanya hivi ili nimuache mazima.

Je nitakua nimefanya kosa kufuta namba zake ?

Ili umkomeshe vizuri hama na mtaa kabisa.
 
Back
Top Bottom