sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,505
- 41,745
Haya.Kaka shemeji sina tatizo kabisa na makato, we tuma tu.
Ngoja misa iishe jongea kwa mpesa.
Haya.Kaka shemeji sina tatizo kabisa na makato, we tuma tu.
Ni kosa kutokujua kama ni kosa au la kufuta namba zake.Kuna msichana niliingia nae kwenye mahusiano kama miezi sita iliyopita na najitahidi kumtatulia shida zake kadri ya uwezo wangu.Yeye hana chakunipa zaidi ya papuchi tu sababu hana ajira na hata kama angekua nayo binafsi huwa sipendi kumuomba mtoto wa kike pesa hata kama nina shida na najua ana mshahara.
Kwa siku chache za hivi karibuni amekua na tabia ya kukaa kimya kama hayupo, kusalimia asubuhi mpaka nianze mimi na nisipofanya hivyo na yeye anakaa kimyaaaa Ila nikitaka kumuacha ni mwepesi sana wa kujitetea na kuomba msamaha.
Leo nimeamua kufuta namba zake zooooote za simu ili nisishawishike kumtafuta sababu kwa upande wangu sina tabia ya kukariri namba za simu za mpenzi wangu, zikiwepo tu kwenye phone book inatosha sana.Nimeamua kufanya hivi ili nimuache mazima.
Je nitakua nimefanya kosa kufuta namba zake ?
Mimi CDF nakupa ulinzi wote commander in chief
Ni huyu "Grace" espy Mugabe anataka kuhamia Namibia, hommie....KUNA NINI HAPA HOMMIE MWONGOZO TAFAZALI
nilijua mke wa mugabe anataka kuja kuishi uhamishoni kwakoKuna msichana niliingia nae kwenye mahusiano kama miezi sita iliyopita na najitahidi kumtatulia shida zake kadri ya uwezo wangu.Yeye hana chakunipa zaidi ya papuchi tu sababu hana ajira na hata kama angekua nayo binafsi huwa sipendi kumuomba mtoto wa kike pesa hata kama nina shida na najua ana mshahara.
Kwa siku chache za hivi karibuni amekua na tabia ya kukaa kimya kama hayupo, kusalimia asubuhi mpaka nianze mimi na nisipofanya hivyo na yeye anakaa kimyaaaa Ila nikitaka kumuacha ni mwepesi sana wa kujitetea na kuomba msamaha.
Leo nimeamua kufuta namba zake zooooote za simu ili nisishawishike kumtafuta sababu kwa upande wangu sina tabia ya kukariri namba za simu za mpenzi wangu, zikiwepo tu kwenye phone book inatosha sana.Nimeamua kufanya hivi ili nimuache mazima.
Je nitakua nimefanya kosa kufuta namba zake ?
Kuna msichana niliingia nae kwenye mahusiano kama miezi sita iliyopita na najitahidi kumtatulia shida zake kadri ya uwezo wangu.Yeye hana chakunipa zaidi ya papuchi tu sababu hana ajira na hata kama angekua nayo binafsi huwa sipendi kumuomba mtoto wa kike pesa hata kama nina shida na najua ana mshahara.
Kwa siku chache za hivi karibuni amekua na tabia ya kukaa kimya kama hayupo, kusalimia asubuhi mpaka nianze mimi na nisipofanya hivyo na yeye anakaa kimyaaaa Ila nikitaka kumuacha ni mwepesi sana wa kujitetea na kuomba msamaha.
Leo nimeamua kufuta namba zake zooooote za simu ili nisishawishike kumtafuta sababu kwa upande wangu sina tabia ya kukariri namba za simu za mpenzi wangu, zikiwepo tu kwenye phone book inatosha sana.Nimeamua kufanya hivi ili nimuache mazima.
Je nitakua nimefanya kosa kufuta namba zake ?
Na akihamia huko ajue njia ni ya kwenda tu kurudi haimoNi huyu "Grace" espy Mugabe anataka kuhamia Namibia, hommie....
Kuna msichana niliingia nae kwenye mahusiano kama miezi sita iliyopita na najitahidi kumtatulia shida zake kadri ya uwezo wangu.Yeye hana chakunipa zaidi ya papuchi tu sababu hana ajira na hata kama angekua nayo binafsi huwa sipendi kumuomba mtoto wa kike pesa hata kama nina shida na najua ana mshahara.
Kwa siku chache za hivi karibuni amekua na tabia ya kukaa kimya kama hayupo, kusalimia asubuhi mpaka nianze mimi na nisipofanya hivyo na yeye anakaa kimyaaaa Ila nikitaka kumuacha ni mwepesi sana wa kujitetea na kuomba msamaha.
Leo nimeamua kufuta namba zake zooooote za simu ili nisishawishike kumtafuta sababu kwa upande wangu sina tabia ya kukariri namba za simu za mpenzi wangu, zikiwepo tu kwenye phone book inatosha sana.Nimeamua kufanya hivi ili nimuache mazima.
Je nitakua nimefanya kosa kufuta namba zake ?