Kumbe ndio maana! Nami nilizifuta na sijazikariri. Basi msalimie sana ukimuona.Namba zako kashazifuta na hajazikariri
Na kwel bado anampendaBado unampenda wew ndo maana huamini maamuzi yako
Jikubali
Mzee baba mapenzi hayana rules
Yaan utaumia tu haina ubishi.
kabila la mtu linakuhusu nini wewe!!! toa ushauri kama huna pita kimya kimya uende, ukilijua kabila lake utashiba ama!!!!Naomba niulize? Kabila gani huyo
Hapo umemaliza mkuu. Kapumzike tu. Umeshaokoa maisha ya mtuBado unampenda wew ndo maana huamini maamuzi yako
Jikubali
Mzee baba mapenzi hayana rules
Yaan utaumia tu haina ubishi.
Nimekuelewa shunieMkuu mpaka kuleta bandiko bado unampenda huyo mdada ila juwa tu yeye hakupendi kuna mwenzio yupo nae busy anaepigiwa kila mda na kutumiwa text
Youngblood huo ndio ukweli mchungu jamaa anagharamia yupo anayekula kiulaini na kuulizwa kila mda babe unaendeleaje baby miss u ahahhahNimekuelewa shunie
Ila nyie wanawake mnadhambi sana,sasa kwanini asimwambie tu kwamba hampendi?Youngblood huo ndio ukweli mchungu jamaa anagharamia yupo anayekula kiulaini na kuulizwa kila mda babe unaendeleaje baby miss u ahahhah
Sio wote ujue tupo hivyo kama simpendi mtu namwambia ili nisimpotezee mda wake tatizo linakuja mwanaume hupendwi halaf king'ang'anizi kila ukiambiwa hutakiwi huelewi ndio yatakukuta kama ya mleta mada halaf kingine mtu hutakiwi si unajua jaman mapicha picha unayoletewaIla nyie wanawake mnadhambi sana,sasa kwanini asimwambie tu kwamba hampendi?