nimefurahiiii....!

nimefurahiiii....!

Mkunde Original

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
807
Reaction score
647
Habari zenu wotee,
Jioni hii nimefurahii kutokana na furaha zangu mwenyewe ila nimefurahi zaidi baada ya kuwaona wana MMU wakiwa katika mazoezi jioni hii, yaani wanatembea kwa miguu in sport wear. Nimemtambua Mtambuzi wadada 2 aliokuwa nao sijawamaki ila big up.
Mie bado nakemea pepo la uvivu ntawajoin soon.
Love u all!!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha haaaaa Kumbe uliniona eh....!
Kama ulinifotoa usije ukaiweka picha yangu hapa maana utazua balaa kwa King'asti
 
Last edited by a moderator:
Ni kweliiii ila naukemea uvivu soon ntakuwa barabarani

Mkunde Original nilipo ona thread hii nikajua unafurahi kwakuwa leo wote mmechekeana na mmeacha kununa,kumbe sivyoo!

hahhaha alaf kuhusu Mtambuzi pengine umemuona kwenye zoezi la kawaida tuu, sasa unge mkuta anafanya zoezi la karate ndio ungeshangaa zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Hubby kanisurprise na new car of my dreams na yeye kavuta lake am happy and I luv my hubby more and more, yale ya zamani yote nimeyasahau the way am happy.... thats it.


Me naomba nijue kilichokufurahisha, Mkunde Original hebu funguka
 
Last edited by a moderator:
Actually tumechekeana kukabidhiwa new car na hubby is not a joke na wakati huohuo na yeye kavuta la kwake, am so happy to have my hubby on my life.
Mtambuzi alikuwa on roadside walk, hiyo napenda ila karate mmmhhh naogopa kurushiwa teke looh

Mkunde Original nilipo ona thread hii nikajua unafurahi kwakuwa leo wote mmechekeana na mmeacha kununa,kumbe sivyoo!

hahhaha alaf kuhusu Mtambuzi pengine umemuona kwenye zoezi la kawaida tuu, sasa unge mkuta anafanya zoezi la karate ndio ungeshangaa zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaa looh hapana shosti siezi kuwa mama yako wa kambo, hubby wangu hajui hata kupiga na hivi kasolve tatizo la usafiri yaani hakuna suruali yoyote itayoniimbisha nikaitikia kiitikio hata unitunfikie drip ntaimba wimbo wa hubby tu.
Nshapata mama wa kambo hapa. Umdivorce yule mmeo kimeo asije akamvunja milonjo babangu bureee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom