Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
ndiyo waandishi wetu hao
ndiyo waandishi wetu hao
mkuu fafanua. NATIONAL FOUR RESULTS UMEIELEWAJE?Utakua haujui mkuu
Halafu aibu ati gazeti linaitwa ObserverMkuu hata lugha waliyotumia ni direct translation ya Kiswahili to English. Wanawaza kwa kiswahili wanaandika kwa kiingereza.
hahahaMkuu hata lugha waliyotumia ni direct translation ya Kiswahili to English. Wanawaza kwa kiswahili wanaandika kwa kiingereza.
ni typing error tu hizoAngalia hapo kwa Ndalichako. Umakini ni muhimu sana
Hapo kwa ndalichako pana shida nadhani hao ndo waandishi makanjanja huku wakiunga stone
Si matokeo ya f4!mkuu fafanua. NATIONAL FOUR RESULTS UMEIELEWAJE?
Ni makosa ya kawaida tu kutokea. That's called Error of omission
Hapo kwa Ndalichako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu kwanza tuanze na treni ya wizi inayooneka nyuma ya Rais, treni hiyo imepigwa picha barabara ya Lumumba kama inavoonekana.
Afafanue kipi! Kama hujui kiingereza acha mada ikupite.Hapo Kuna vichwa vya habari vingi fafanua Kipi ambacho umekiona kina walakini
Utakuwa mwanalumumba, kwenye gazeti haikubaliki, vinginevyo unamtaka msomaji aanze kusahihisha makosa kabla ya kuanza kulisoma gazeti lake! BIG NO.Ni makosa ya kawaida tu kutokea. That's called Error of omission
Hapo kwa Ndalichako
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha sikujua kama kwenye gazeti hairuhusiwi kama usemavyo, ila ndo ishatokea na hilo ni gazeti. Sasa kama hairuhusiwi ndio halitaitwa gazeti?Utakuwa mwanalumumba, kwenye gazeti haikubaliki, vinginevyo unamtaka msomaji aanze kusahihisha makosa kabla ya kuanza kulisoma gazeti lake! BIG NO.
nielimishe please sijaona kusema kweliAngalia hapo kwa Ndalichako. Umakini ni muhimu sana
Sio hiyo tu. Angalia hata hiyo habari ya Matokeo ya form four haina heading. Kwa watu makini wanashindwa kujua wanataka kamaanisha nini? Kwanza kakosea uandishi na pia habari haina heading. Au heading ni waziri?