Ni minada ipi iko vizuri kwa biashara?

AFRICAN BOYI

Senior Member
Dec 9, 2019
114
320
Habari zenu wakuu,

Nauliza ni minada ama magulio yapi hapa Tanzania ipo vizuri ki biashara yaani ina amsha amsha. Asilimia kubwa kila mkoa ina minada yake, je ni mkoa upi minada yake huwa iko hot kwenye biashara.

Kwa wale mlio zunguka hii Tanzania naomba mtusaidie katika hilo. Naimani kuna minada iko vizuri sana kwa biashara hapa Tanzania inshu ni kuijua. Msaada wenu tafadhali

Na vipi kuhusu bidhaa inayo toka zaidi kwenye minada. Msaada pia tafadhali, niko nasubiri michango yenu waungwana.
 
Habari zenu wakuu,

Nauliza ni minada ama magulio yapi hapa Tanzania ipo vizuri ki biashara yaani ina amsha amsha. Asilimia kubwa kila mkoa ina minada yake, je ni mkoa upi minada yake huwa iko hot kwenye biashara.

Kwa wale mlio zunguka hii Tanzania naomba mtusaidie katika hilo. Naimani kuna minada iko vizuri sana kwa biashara hapa Tanzania inshu ni kuijua. Msaada wenu tafadhali

Na vipi kuhusu bidhaa inayo toka zaidi kwenye minada. Msaada pia tafadhali, niko nasubiri michango yenu waungwana.
Manyara Babati, Katesh, Karatu wapelekee nguo za Special na Viatu.

Kondoa Bukuru, Chemba na Galapo wapelekee Cosmetics, Nguo za kihindi na baibui usisahau Sendo za kike.

Mtwara vijijini wapelekee simu, USB, Earphones na charger usisahau Sendo za kike.
 
Kwamba huko lazima atoboe akikomaa?
Manyara Babati, Katesh, Karatu wapelekee nguo za Special na Viatu.

Kondoa Bukuru, Chemba na Galapo wapelekee Cosmetics, Nguo za kihindi na baibui usisahau Sendo za kike.

Mtwara vijijini wapelekee simu, USB, Earphones na charger usisahau Sendo za kike.
 
Shukrani sana ndugu
Manyara Babati, Katesh, Karatu wapelekee nguo za Special na Viatu.

Kondoa Bukuru, Chemba na Galapo wapelekee Cosmetics, Nguo za kihindi na baibui usisahau Sendo za kike.

Mtwara vijijini wapelekee simu, USB, Earphones na charger usisahau Sendo za kike.
 
Back
Top Bottom