Kuna shida sehemu nyingiAngalia hapo kwa Ndalichako. Umakini ni muhimu sana
Gazeti LA Musiba msameheni jamaniAngalia hapo kwa Ndalichako. Umakini ni muhimu sana
Ni makosa ya kawaida tu kutokea. That's called Error of omissionNaomba waungwana mnisaidie kudadavua hapa.
Sio la Musiba, litakuwa la Obed Mlaga tu.Gazeti LA Musiba msameheni jamani
Kama ni hivyo, hilo ni kosa kubwa kwenye tasnia ya uandishi wa habariSasa hapo nani hajui kingereza mkuu, ni makosa ya gazeti au mzungumzaji? Itakuwaje endapo kama ni makosa ya kiuandishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Things mosquito a OR Vitu mbu a.Mkuu hata lugha waliyotumia ni direct translation ya Kiswahili to English. Wanawaza kwa kiswahili wanaandika kwa kiingereza.
Nime-note pia .. nina uhakika wateja wakubwa wa hili gazeti ni maandazi na vitumbua.Mkuu hata lugha waliyotumia ni direct translation ya Kiswahili to English. Wanawaza kwa kiswahili wanaandika kwa kiingereza.
Sio hiyo tu. Angalia hata hiyo habari ya Matokeo ya form four haina heading. Kwa watu makini wanashindwa kujua wanataka kamaanisha nini? Kwanza kakosea uandishi na pia habari haina heading. Au heading ni waziri?Hata hiyo heading ya sgr ipo hovyohovyo sana, haivutii hata kununua gazeti
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hiyo heading ya sgr ipo hovyohovyo sana, haivutii hata kununua gazeti
Sent using Jamii Forums mobile app