ousmane sonko

Ousmane Sonko (Wolof: Usmaan Sonko; born 15 July 1974) is a Senegalese politician and former tax official who served as the 16th prime minister of Senegal from 2024 to 2026, and as the leader of PASTEF since the party's foundation in January 2014.
Sonko was the PASTEF candidate in the 2019 presidential election, ultimately placing third. A major figure in the Senegalese opposition against former president Macky Sall, his arrest and subsequent investigation by authorities in 2019 following sexual assault accusations triggered mass protests and rioting across Senegal. In June 2023, he was sentenced to two years in prison, and in July 2023, PASTEF was dissolved by the Senegalese government. In 2024, he was appointed prime minister after his protégé, Bassirou Diomaye Faye, won the 2024 presidential election.

View More On Wikipedia.org
  1. Mhandisi Mzalendo

    JamiiForums Tanzania SENEGAL: Mtifuano wa kisiasa waendelea kati ya Sonko na Diomaye

    Bunge la Kitaifa la Senegal limepitisha mabadiliko ya katiba yanayopunguza madaraka ya rais na kuongeza nguvu za bunge. Marekebisho haya yaliyopendekezwa na chama tawala cha PASTEF, yamepitishwa huku kukiwa na mivutano mikubwa, kususia kwa wapinzani, na maandamano nje ya bunge.Kufuatia kura...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Senegal: Aliyetimuliwa Uwaziri Mkuu achaguliwa kuwa Spika wa Bunge

    Bunge la Senegal limemchagua Waziri Mkuu wa zamani, Ousmane Sonko, kuwa Spika mpya. Hatua hii inaweza kumpa jukwaa lenye nguvu kubwa la kutoa upinzani kwa Rais Bassirou Diomaye Faye. Spika wa zamani wa bunge hilo, El Malick Ndiaye, alijiuzulu Mei 24, 2026 hatua ambayo wachambuzi wa mambo...
  3. Mhandisi Mzalendo

    JamiiForums Tanzania Senegal: Mwisho wa "Ndoa" ya Kisiasa? Rais Diomaye Faye amtimua kazi Waziri Mkuu Ousmane Sonko na kuvunja serikali

    Jana, tarehe 22 Mei 2026, ulimwengu wa siasa za Afrika Magharibi umeshuhudia mtikisiko mzito baada ya Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, kumfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, na kuivunja Serikali yote. Uamuzi huu, uliosomwa kupitia televisheni ya taifa na Katibu Mkuu wa Kiongozi...
Back
Top Bottom