Hahaaa!!kudra hazishindi uwezo!!japo ni vizuri kutiana moyo lakini ukweli "HATUTOBOIIII!!!Mzuka wanajamvi!
Kwaanzia usiku huu hadi kesho jioni nimefunga kwa ajili ya timu yetu pendwa ya taifa stars ishinde mechi zake zote zilizo salia na ifuzu kombe la dunia
Kuna mambo ya kuleta uzalendo kama tozo ila sio Congo bro wameshusha full biriani acha tukazulule turudiWewe siyo mzalendo
Ibada gani ya kushinda njaa kwa timu za mchangani.Ibada ni ujinga bwana mdogo?
Merci PapaaNaiombea timu yangu ya Congo DRC tushinde goli 1 tu
Naungana na wewe!Nimefunga arobaini, pamoja na maombi mengine naomba Mungu amwondolee Freeman Aikaeli Mbowe teso hilo.
Kipimo walichompimia watesi wake wapimiwe wao na kusukwasukwa.