Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
sasa unataka tufanyaje!!!!!!!!!!!
Kwahiyo unataka tusemeje
Tukusifu?
Tukucheke?
Tukutukane?
Tena una bahati ulikwepa na bdo nakutafuta sana nitakupata tu
Dah! Sijui serikali imewaza nini kuwagaia Tablet mashuleni?
Ota ndoto zote lakini si ya kufumaniwa....Yangekupata usingekuwa na ubavu wa kujimwaga jamvini humu! Temea mate chini!
Nilimuheshimu sana shemeji yangu, lakini majuzi sikuamini aliponifuata katika chumba changu saa 7 usiku, tukiwa hotel moja serengeti park tulikokuwa kwa ajili ya mapumziko, ni mke wa rafiki yangu, mwanamke mrembo kupindukia, tukiwa tayari tumelewa mi nikaenda kulala, mumewe akasema anaenda poaching na game soldiers, mara nikasikia mlango unagongwa, kufungua ni yeye, oops mwanamke kama alivyozaliwa, alikuwa kajifunga khanga tu, bila hata chupi, nikiwa nimepigwa butwaa, akaitupa khanga mbali, nakupenda James, usiponifanya napiga kelele kuwa unataka kunibaka.
Sikuwa na ujanja ila kumgegeda, ile nakaribia kileleni tu, jamaa huyu hapaa, yaani live.
Alitoa kisu mfuko akanirushia nami nikakwepa!
Hongera sana kwa kumla mke wa rafiki ako, na hongera kwa kukwepa kisu....
ila ungemalizia na hongera za kumkatikia kiuno vizuri..