Yaani mtu anaamua atunge tu uongo aisee watu wana vitukoasilimia 90 za thead humu ni chai tu,
ila ndo ivo tupambane na chai,
mda mwingine zina chekesha na tunaondoa uchov
Huyu jamaa anahaki zote muhimu za kuchapiwa mke wakeSijui kwanini nahisi hii ni chai!
Huwa sichangii chochote zaidi ya hiki nilichochangia ninapohisi ni chaiYaani mtu anaamua atunge tu uongo aisee watu wana vituko
Meseji inasema:
"...hapana mama, sio kubwa mbona, ni wewe tu una uch* mdogo. Lakini naona unaizoea taratibu".
Iko hivi...
Nipo kwenye mgogoro na wife na hatusemezani wala hatushiriki tendo la ndoa wiki ya tatu sasa. Jana aliondoka asubuhi kama kawaida akaenda ofisini kwake, anafanya kazi kwenye kampuni ya soda. Alichelewa kurudi kupita siku zote na bila kunitaarifu.
Kwa kawaida hua anasimu 2, moja yake binafsi nyingine alinunuliwa na kampuni na anaitumia kwa mawasiliano ya kikazi tu. Hii ya ofisi mara ni nokia tochi tu na hua mara nyingi anaizima akiwa home usiku, jana kasahau kuizima kumbe ndo anakoficha madudu yake huko.
Hii simu hua sipekui kabisa kama ile simu kubwa kwakua hua naamini inamambo ya kiofisi na mawasiliano ya humo yaweza kua siri. Sasa jana alipoenda kuoga nimefuma meseji hoyo kwenye kale kasimu, meseji imetoka kwa gudume flani jina kasevu "Boloyank".
WEWE ENDELEA KUKAA KIMYA MWENZAKO ANAENDELEA KULIPANUA SHIMO UTASHTUKIA AMEANZA KUKUWEKA KWENYE GROUP LA WENYE VIBAMIA.HILO SHIMO LIKIPANUKA NDIO BASI TENA.USHAURI WANGU MWAMBIE KUNA VITU UNAFANYA NA HUYO BOLOYANK ACHA KWANI NAVIFAHAMU NA USINIULIZE NIMEJUAJE NA SIKUULIZI TENA ILA NATAKA UJUE TU KUWA NAJUA.
Sijamuuliza kitu mpaka sasa. Nakufa mwenzenu! Ninahasira hadi nashindwa kuongea wala kumeza mate. Nahisi kufa na wahusika wa kifo changu ni wife na Boloyank.
Chief acha tu, mambo mengine yanauzi mno aiseeHahahahaaaa huyo jamaa kanichekesha Sana......bt pole Sana mtalaam
Hapa lazima maafa yatokee, ama mm ama yeyeKashaliwa huyo mkuu pole sana fanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi ukiua au kujeruhi jela itakuhusu nakutakia utekelezaji mwema
Mpaka uibiwe ww ndo utajua kwamba kumbe ni togwa hiiSijui kwanini nahisi hii ni chai!