LOLA70
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 430
- 507
Pole sana, mungu atafungua njia nyingine.My name is Amicus Curiae, a very prominent lawyer in ..... City.
Nilifika pale ofisini mapema sana miaka kadhaa iliyopita wakati ofisi iko kwenye kipindi kigumu, nikaishi nao hivyohivyo tena kwa upendo, nikawafundisha kazi makumi ya Wanasheria (Mawakili)...