Habari wana JF,nimefiwa na mtoto jana Muhimbili hospital.
Mazishi ni leo saa7 mchana,msiba upo banana ukonga!
Habari wana JF,nimefiwa na mtoto jana Muhimbili hospital.
Mazishi ni leo saa7 mchana,msiba upo banana ukonga!
Ahsante sana wana JF wote mlio kua nami ktk harakati za msiba kuanzia juzi usiku mpaka leo hii asubuhi.
Shukran za pekee zimuendee PAKAJIMMY wa ARUSHA aliyethubutu kunipigia simu na kunipa pole kwa yaliyonisibu.
Jana tumezika salama ktk makaburi ya KIPUNGUNI "A" BANANA-UK.
Wana JF nataka kuanzisha tread mpya itakayo zungumzia yaliyonisibu MUHIMBILI HOSPITAL.
So naombeni mawazo yenu ili niitoe au lah???
Mkuu,Ahsante sana wana JF wote mlio kua nami ktk harakati za msiba kuanzia juzi usiku mpaka leo hii asubuhi.
Shukran za pekee zimuendee PAKAJIMMY wa ARUSHA aliyethubutu kunipigia simu na kunipa pole kwa yaliyonisibu.
Jana tumezika salama ktk makaburi ya KIPUNGUNI "A" BANANA-UK.
Wana JF nataka kuanzisha tread mpya itakayo zungumzia yaliyonisibu MUHIMBILI HOSPITAL.
So naombeni mawazo yenu ili niitoe au lah???
Habari wana JF,nimefiwa na mtoto jana Muhimbili hospital.
Mazishi ni leo saa7 mchana,msiba upo banana ukonga!
Habari wana JF,nimefiwa na mtoto jana Muhimbili hospital.
Mazishi ni leo saa7 mchana,msiba upo banana ukonga!
...Aisee pole sana kwa kuondokewa na kijana wako. Nakuombea kwa mwenyezi mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu kabisa.Habari wana JF,nimefiwa na mtoto jana Muhimbili hospital.
Mazishi ni leo saa7 mchana,msiba upo banana ukonga!