Nimefiwa na mama yangu naomba msaada wenu

Nimefiwa na mama yangu naomba msaada wenu

Kimfaacho mtu chake kama umeweza kupost hapa ina maana una simu yenye uwezo,uza hiyo simu mengine yatafuatia
Hapo umemaliza. Au aiweke rehani apate hela akitoka kuzika atafute hela ya watu arudishe
 
Mtumieni bwana..mbona mnampa pole ya maneno
 
mkuu nitumie jina lako la kitambulisho na sehemu ulipo kisha nenda westernunion iliyo karubu nawe ok nani Pm.


swissme
 
upendo umepungua ktk dini..na ndio miche tuliyopanda na twavuna matunda ya CHUKI,UBINAFSI,KUPENDA PESA, MAJIVUNO,KIBURI na kupelekea mauaji ya kila namna
 
duh, kibiti mtwara unakosa nauli, mhh, anyway pole mkuu, kaombe msikitini kwenu hapo kibiti utapewa, waislamu sio wachoyo
umekimbilia kufanya kuassume mtoa post ni mtu mzima kwa kuuliza hilo. utajuaje kama yeyee ni mdogo na ni mwanafunz hana uwezo wa kupata naulii? mtoa post ebu jaribu kutoa maelezo ya kutoshelezo maana siku hizi uaminifu ni mdogo na watu hawaaminiani. ila pole kwa kufiwa na mama.
 
Mwenye nachoo atupie asienachoo kaa kimya mpaka masiah arudi
 
umekimbilia kufanya kuassume mtoa post ni mtu mzima kwa kuuliza hilo. utajuaje kama yeyee ni mdogo na ni mwanafunz hana uwezo wa kupata naulii? mtoa post ebu jaribu kutoa maelezo ya kutoshelezo maana siku hizi uaminifu ni mdogo na watu hawaaminiani. ila pole kwa kufiwa na mama.
Ni kweli ndgu ...ila iko hivi niko hapa kibiti kimakaz tu nyumbani ni huko masasi mtwara...ila taarfa ya msiba ni ya ghafla ...nimejitahidi kufanya harakati za kupata hyo nauli ikashindikana ndio maana nikaamua kuomba msaada huku..
Pia kwa ufupi ni dharura pia mazingira ya majiran zangu kidgo nayo c mazur kwa kipindi hiki
 
HARAMU KWA MUISLAMU KUOMBA OMBA MISAADA KAMA WAMESHAZIKA BASI UTAENDA UKIPATA PESA
 
Mmh. I am sure you are testing these people. Just to remind you. Some are great thinkers.....
Kama umefiwa kweli pole sana. Ila kwa swala la hela dunia imeoza.....sio rahisi kupata kama unavyodhani/ ulovyopost.
 
Back
Top Bottom