Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,908
- 7,751
Anataka hela wewe unamjaza maneno! Hayo keshayasikia sana tu..Tuma mpunga maneno ya allah baadae...Pole sana ndugu allah akupe nguvu kumbuka sote ni wa allah na kwake tutarejea.
pamoja na hayo upo kibiti sehemu gani?.