bahati mbaya
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 578
- 193
Ndugu wana Jamii Forum,
nimefiwa na kaka yangu tarehe 4/08/2014 siku ya Jumatatu, tulizika tarehe 6/08/2014 siku ya Jumatano Ifakara.
Kwa ajili ya majonzi makubwa nilishindwa kuwapa taarifa mapema, mpaka niliporudi kutoka msibani ndiyo nimeweza kuwajulisha.
BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.
nimefiwa na kaka yangu tarehe 4/08/2014 siku ya Jumatatu, tulizika tarehe 6/08/2014 siku ya Jumatano Ifakara.
Kwa ajili ya majonzi makubwa nilishindwa kuwapa taarifa mapema, mpaka niliporudi kutoka msibani ndiyo nimeweza kuwajulisha.
BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.