Nimefiwa na kaka yangu

Nimefiwa na kaka yangu

Pole sana ndugu, Tumuombe kwa pamoja Moula karim amrehemu na kumlaza pema. Amin
 
Pole Sana willy Gamba.....Mwenye enzi akupe nguvu......kumbuka na sisi ni canditates tufanye maandalizi
 
pole sana mpendwa Mwenyezi Mungu akutie nguvu katika wakati huu mgumu
 
pole sana mkuu...rambi rambi zetu tunazitumaje zikufikie?
 
pole best si ungemwambia hata mtu wako wa karibu hapa jf ili akuwekee bandiko hapa nasi tukupe faraja

usijali ni Bwana ametoa na ametwaa pole mwaya Mungu akutie nguvu
Ndugu wana Jamii Forum,
nimefiwa na kaka yangu tarehe 4/08/2014 siku ya Jumatatu, tulizika tarehe 6/08/2014 siku ya Jumatano Ifakara.

Kwa ajili ya majonzi makubwa nilishindwa kuwapa taarifa mapema, mpaka niliporudi kutoka msibani ndiyo nimeweza kuwajulisha.

BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.
 
ooh! pole sana ndg yangu..Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi inshaallah!RIP Bro.
 
Back
Top Bottom