Nimefichua siri

Nimefichua siri

kaa kimya na jitahidi kutomuamini mtu yeyote hapo utabaki nayo mengi moyoni
 
Nitafute nikusaidie njia ambayo itakupa amani zaidi juu ya kuhifadhi siri zako huku duniani.
Am serious. Not a joke

Habari zenu wana jamii, poleni na majukumu.

Kuna kitu kinanitatiza ni bora mnisaidie mawazo niwe na amani. Binafsi nina kanuni zangu flani za maisha, na kuna baadhi ya mambo ambayo ni binafsi sana napenda yawe ni siri ya moyo.

Sasa kilichotokea ni kwamba nilijikuta nikimwambia mtu wangu mmoja wa karibu siri yangu ambayo hua sipendelei baadhi ya watu wajue. Nilipomueleza niliumia sana nikasema ni mistake imetokea nitajitahidi nizibe mdomo.

Sasa hii mara ya pili nimejikuta nikimuelezea mtu mwingine siri nyingine tena sio ile ya kwanza, nimeumia sana lakini ndo imeshatokea sasa sijui nifanyaje.

Maana ni mambo binafsi sana sipati picha akiamua kushea na watu wengine japo sio mabaya lakini ndo hivo sipendi yafahamike. Siri nimeshindwa kutunza sasa najihisi vibaya.

Kwa wanaojua njia zaidi ya kutunza siri nahitaji mawazo ili niweze kuwa mtunza siri mzuri..:embarrassed:
 
Mwalimu wangu wa social ethics first year alinifundisha kuwa there are 4 ways of keeping secrets namely;
1. Evasion
2. Destructing the questioner
3. Keeping silent and
4. Mental reservation.
 
fanya kama ile hadithi ya mfalme ana masikio kama punda!!
yule jamaa alishindwa kuvumilia kama wewe!!!!
 
Habari zenu wana jamii, poleni na majukumu.

Kuna kitu kinanitatiza ni bora mnisaidie mawazo niwe na amani. Binafsi nina kanuni zangu flani za maisha, na kuna baadhi ya mambo ambayo ni binafsi sana napenda yawe ni siri ya moyo.

Sasa kilichotokea ni kwamba nilijikuta nikimwambia mtu wangu mmoja wa karibu siri yangu ambayo hua sipendelei baadhi ya watu wajue. Nilipomueleza niliumia sana nikasema ni mistake imetokea nitajitahidi nizibe mdomo.

Sasa hii mara ya pili nimejikuta nikimuelezea mtu mwingine siri nyingine tena sio ile ya kwanza, nimeumia sana lakini ndo imeshatokea sasa sijui nifanyaje.

Maana ni mambo binafsi sana sipati picha akiamua kushea na watu wengine japo sio mabaya lakini ndo hivo sipendi yafahamike. Siri nimeshindwa kutunza sasa najihisi vibaya.

Kwa wanaojua njia zaidi ya kutunza siri nahitaji mawazo ili niweze kuwa mtunza siri mzuri..:embarrassed:


Mmbeya haulizwi........
kwan ww uliulizwa?
ww ni mmbe tena husituhulize cc kawaulize mashangingi wenzio uliowambia.
 
wewe uko hivyo, hiyo ni tabia ya kimbea.....
 
Mwalimu wangu wa social ethics first year alinifundisha kuwa there are 4 ways of keeping secrets namely;
1. Evasion
2. Destructing the questioner
3. Keeping silent and
4. Mental reservation.

safi kumbe nawe ni msomi wa elimu ya juu ya chuo kikuu,...! hongera
 
Bree ven siri huwa haitamkiki maana ni kitu ambacho kwa namna yoyote ile huwezi kupata ujasiri wa kufunua mdomo wako na kukiongea kwa mtu yoyote.
Hiyo uliyoisema kwa hao marafiki zako mi naamini si siri.Hata hivyo itakuwa imekusaidia somehow maana kukaa na kitu kinachokuumiza ni ugonjwa ukikikitoa tu unapona.
Kikubwa kama unahisi hiko kitu kinakuumiza sana jitahidi kuwaambia watu unaowaamini ili usije kujilaumu tena.
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wana jamii, poleni na majukumu.

Kuna kitu kinanitatiza ni bora mnisaidie mawazo niwe na amani. Binafsi nina kanuni zangu flani za maisha, na kuna baadhi ya mambo ambayo ni binafsi sana napenda yawe ni siri ya moyo.

Sasa kilichotokea ni kwamba nilijikuta nikimwambia mtu wangu mmoja wa karibu siri yangu ambayo hua sipendelei baadhi ya watu wajue. Nilipomueleza niliumia sana nikasema ni mistake imetokea nitajitahidi nizibe mdomo.

Sasa hii mara ya pili nimejikuta nikimuelezea mtu mwingine siri nyingine tena sio ile ya kwanza, nimeumia sana lakini ndo imeshatokea sasa sijui nifanyaje.

Maana ni mambo binafsi sana sipati picha akiamua kushea na watu wengine japo sio mabaya lakini ndo hivo sipendi yafahamike. Siri nimeshindwa kutunza sasa najihisi vibaya.

Kwa wanaojua njia zaidi ya kutunza siri nahitaji mawazo ili niweze kuwa mtunza siri mzuri..:embarrassed:

...niambie siri zako zoote ntakutunzia, hauta kaa ujute tena mamaa.....
 
Ucklze siri za watu hasa znazohucana na hio yko cz itkshwsh kuisema pia
 
ardhi inapojaa maji na kukinai (saturated) hufurika na hata kuleta maafa.....vivyo hivyo moyo unapojaa mambo mengi na kufurika huaza kujipunguzia uzito....
:::::::
Katika hali hiyo, kama utashindwa kusema kwa mtu yeyote, unaweza jikuta siku unaropoka mwaeyewe bila kujijua...
:::::::
Kwa mtazamo wangu, kinachofichwa mara nyingi (not always) ni uovu..if that is the case, jitahidi kukwepa mazingira ya namna hiyo...
:::::::
Over all, mtunza siri ni mungu
pekee

umenena vyema mkuu
 
Wewe ndiye muamuzi wa mwisho kama uliweza kujikaza kabla ya kutoa siri, sahau siri ulizozitoa kwa watu wawili(kumbuka maji yakishamwagika hayazoleki) na kisha uanze ukurasa mpya. Jizuie na inapotokea ukiwa unahisi unataka kutoa siri zako jaribu kukata maongezi mliyonayo na uondoke eneo husika, itasaidia
 
Cku kikikuwasha,nenda msituni ukapge kelele.Htakuckia mtu asee
 
Back
Top Bottom