Kibumbula
JF-Expert Member
- Mar 26, 2018
- 3,681
- 3,346
Haaahaaaaaawe ulikua na hofu, yaan ukiingia kwe game na demu ambaye unamhofia aisee ht sekunde 30 znaweza zisifike wageni washafika
Haaahaaaaaawe ulikua na hofu, yaan ukiingia kwe game na demu ambaye unamhofia aisee ht sekunde 30 znaweza zisifike wageni washafika
Nipo musomaOh hooo kwisha habari yako ! Uko wapi?
Duh?
Unakana uraia wako mkuu!?! Siyo vizuri mkuu!Acha mambo yako mi sio wa dar
Tarime ndio kwetuUnakana uraia wako mkuu!?! Siyo vizuri mkuu!
atarud Huyo Jitahid Upige Hata Goli Moja Kama Mara Mbili Tatu Ivi Ili Umzoee Baada Ya Hapo Rate Ya Ufungaji Magoli Itaanza Kupanda YenyewKiukweli ni mkali sana,
Wewe ni geniusPole sana mkuu!! Usifadhaike saña kwani tatzo hili linawakumba wengi!!!
Hali hii huwa ni tatzo la kisaikolojia na kwakweli ukifuatilia kwa undani utaon kwamba asilimia kubwa ya matatizo ya nguvu za kiume ni ya kisaikolojia!!
Kulingana na ulivyoeleza hapa ulikuwa umempamia hivyo mwili ambao unatakiwa uwe na mzunguko wa damu haukuwa relaxed... Hvyo ikasabbaisha uwe na panic. Na kilichosababsha panic ni kushndwa kuamini kwamba hatimaye umempata ambaye hukumtegemea hvyo ukawa unatumia muda mwingi kuwaza na kiakili hukuwa na imani so uwezo Wa kufikiri hapa ulikuwa chini postvely kwani ulikuw kama uko ndotoni!!
Kingine kilichosababisha hali hyo ni kukosa confidence!! Yaani ulikuw ukidhani kwqmba kumpata ww si halali au size yako matokeo yake ukawa ña hofia kwamba anaweza akakugeuka mda wowote. Akuambie bhana mie nawahi sehemu kwanza nmekuhurumia tu so kutokana na kufikiria kwako hvyo ukajikuta mishipa ya damu kuelekea ikulu ikashindwa kufanya kazi ña ile ya ubongo Wa mbele na kuna mda forebrain ilikuw inakuwa activé ila ikulu pakawa panasinyaa!!!
Cha mwisho ni stress... Demu wako huyó ulikubliana nae ukiwa ktk hali ya mawazo ambayo ww peke yake unayajua... Next time relax. Jiamni. Usikurupuke kupanda mlima KABLA hujaangalia kimo au urefu Wa mlima,,, mwandae haswa... Zungumza nae kw muda ili umzoee. Then ujikaze kuruhusu mawazo yatakayokufanya ushndwe,,,, kamwe jitahd usiwaze yaliyotokea,,,,,ashumu uko activé na unammdu na mweleze ukweli kwqmba siku hyo ulikuw unawqza saña na anza kumwambia mapema ili asje akakuuliza maswali yatakayokufanya usijaribu hata kusimamisha kabsa...kama,, baby naona naleo ni ya le yale ya siku ile!!!! Hutasimama kamwe ukimuruhusu akawa na maswali Haya... Cheza nae sasa na asjue kwamba ww uko ina ctive
Hahhahaaa kweli JF ina raha ,yaani uliomba alafu ukarudi kuzini....labda kama alikuwa mkeoAjali kazini,pole mkuu.
Mm iliwahi kunitokea ila nilitoka nje uchi nikasali na Mungu akajibu maombi hapohapo
Kwaiyo ulishindwa kuingiza eeh au ulikosa wa kukuboost na.kidole kunako..kwa we niwa mkoa ganiHabari zenu wadau: niende kwenye mada.
Jana ilikuwa siku maalumu kwangu baada ya kuahidiwa papuchi kwa muda mrefu kidogo, lakini nasikitika kilichonitokea sijawahi kukiona, kifupi nilikuwa na binti mmoja hivi ambae nilimfukuzia kwa miaka kama miwili hivi,,,basi siku ya Jumatano tulipeana promise kwamba jana tukutane lodge fulani hapa mjini,,, mambo yalikuwa hivi,,,, baada ya kuingia room nilianza kumpapasa hapa na pale lakini dushe halisimami nikajiuliza tatizo nini, ofcourse demu ni mkali sana, nilishindwa kung'amua tatizo ni nini, baada ya kama nusu saa hali ilirejea kawaida, nilivyoingiza kichwa cha dushe tu nikahisi kama wazungu wanakuja, kwa hofu ya kuabika nikachomoa fasta, lakini wapi wazungu walifika bila hodi, nilipata wasiwasi sana, yule binti angenionaje ukizingatia gharama niliotumia ni kubwa mpaka kumpata, ongezea na ya kulipia lodge kiukweli nilijutia kuwa na yule demu maeneo yale, kwa sauti ya upole nilisikia demu akiniuliza baby mbona huingizi kwan umekuaje ? Nilishindwa nimjibuje nikaishia kujisonya sonya tu, niliamua kumwambia tu samahan baby naomba tutafanya siku nyingne leo naumwa.
Ushauri wenu wapendwa hili litakuwa tatizo gani au ni kawaida?
Kweli kabisa, pesa utafute kwa jasho bado tena kwenye starehe ya sex na penyewe shida tupuWanaume mmeumbwa mateso kuhangaika....
Hahahhaaa mkuu hiyo level sina hakika kama ni nayo but thanx!!! Tuliza akili mbona atakipata cha MOTO!!!!Wewe ni genius
Kumbe ni wewe hahaha , pamoja sana kaka naona leo umeamua kijionesha sura yako.1Kwaiyo ulishindwa kuingiza eeh au ulikosa wa kukuboost na.kidole kunako..kwa we niwa mkoa gani View attachment 929766
Hahahhaaa mkuu hiyo level sina hakika kama ni nayo but thanx!!! Tuliza akili mbona atakipata cha MOTO!!!!