Nimefanya mapenzi na mwanaume mwenzangu

Nimefanya mapenzi na mwanaume mwenzangu

Naomba namba ya mkeo au dem wako alafu atakupa mrejesho Kama najua kutongozaa au vipi.
 
Kumbe ndio maana ujenzi wa magorofa mengi siku hizi una mushkeli
 
ilikuwa mwaka 2009 nikiwa form four mtaani kwetu kulikuwa na jamaa mmoja mwenye tabia za kike kike. Alikuwa ana ukaribu sana na vijana wadogo wadogo wa form two hadi form four. Kumbe jamaa yule kutoka kaskazini alikuwa shoga na alikuwa anawashawishi vijana wale kufanya nae mapenzi. Vijana wengi wakampitia. Kijana mmoja rafiki yangu akaja kunipa story za jamaa yule na kuniambia kuwa jamaa anatoa hadi pesa ili umpe umfanye kinyume na maumbile. Nilivyo mdadisi sana kijana yule nikamshauri akatubu kwa padri.
Kijana: baba pdri naungama kwa sababu nilifanya mapenzi na mwanaume mwenzangu.
Sala ikasimama
Padri: eeeeh vipi ulifanya wewe au ulitendewa?
Kijana: mimi ndo niliye fanya.
Baada ya maungamo padri akamshauri yule kijana kuwa asiruidie tena.akasaidia kufanya uchunguzi hatimaye yule kijana shoga akawekwa mtu kati na kuamriwaa rudi kwao by then alikuwa na miaka 31.
Based on very true story.
Wewe.....
 
Mmmh, jamani ngoja waje maana nilivyosoma heading na nilichokikuta..., Mungu nisaidie
 
Back
Top Bottom