Nimefanya mapenzi na mwanaume mwenzangu

Nimefanya mapenzi na mwanaume mwenzangu

2009 form 4, ulipata ngapi kiswahili, unakumbuka kuna wakati wa sasa timilifu, wakati ujao, na wakati uliopita? sasa habari na kicha cha habari tofauti, ukumbuki hata kwenye kipengele cha utungaji pale namna ya kuandika? sawa turudi kwenye mada sasa, tupe radha yake ya huko? na je ullipata athari gani baada ya hapo? na je ako kamchezo bado unaendelea au umeeacha? maana ukianza kuzibua mavi bwana utataka kila saa.


Off Topic: Hebu amkia wakubwa kwanza!! Wewe ni Kijana Leo mimi ni Kijana Juzi inapendeza sana
 
mmmjh!
Ualimu kazi sana aisee.
Hebu fikiria huyu ni kijana, ambaye, napata picha kamaliza elimu ya sekondari.
Hajui kanuni za uandishi hata moja.

waalimu wote wa lugha poleni sana hasa snowhite na Baba V
 
Last edited by a moderator:
polesana nakushauli uokoke na kutubu dhambi kiukweli biblia inakataza kwamsisitizo kua wote wanao tenda mambo kamahayo wata hukumiwa adhabu soma warumi 1;18 inasema kwamaana ghadhabu yamungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wawanadamu waipingao kweli kwauovu/ ms;21 kwasababu sabu walipomjua mungu hawakumtukuza kamandie mungu/ ms; 26 hivyo mungu aliwaacha wafuate tamaa zaoza aibu hata wanawake wakabadili matumizi yao ya asili kwamatumizi yasiyo ya asili ms;27 wanaume nao waliyaacha matumizi yamke yasili wakawakiana tamaa wana ume walitenda yasiyopasa wakapata malipo yaupotevu wao soma pia 1timotheo 1; 7-10
 
1timotheo 1; 7-10 inasemawapena kua warimu washelia ingawa hawafaham wasemayo kwa uthabiti lakini twajua yakuwa sheria ni njema kama mtu akiitumia kwanjia iliyo halali ms;9 akilifahamu neno hili yakuwa sheria haimhusu mtu wahaki, bali waasi, na wasio wataratibu, na makafiri, na wenye dhambi, na wanajisi na wasiomcha mungu, na wapigao baba zao nawa pigao mama zao, nawauaji ms;10 na wazinifu, na wafiraji, na waibao watu, na waongo/ kweli wapendwa wokovu ni wamhimu
 
inawezekana Huyu jamaa ana interest ya ishu hizo!kwanza haoni aibu kuandika habari hii isiyo na kichwa wala miguu,jadili mambo ya msingi sio habari za ushoga hizo peleja FB.
 
mmmjh!
Ualimu kazi sana aisee.
Hebu fikiria huyu ni kijana, ambaye, napata picha kamaliza elimu ya sekondari.
Hajui kanuni za uandishi hata moja.

waalimu wote wa lugha poleni sana hasa snowhite na Baba V

yaani huyu sijui kama anaweza hata kutongoza,au atasubiri afuatwe atongozwe yy kama anashindwa kufikiria kuandika vizuri hoja ikaeleweka na wakati ana muda mwingi nyuma ya keyboard,sijui mbele za watu akifanya presentantion inakuwaje.?
 
Last edited by a moderator:
ilikuwa mwaka 2009 nikiwa form four mtaani kwetu kulikuwa na jamaa mmoja mwenye tabia za kike kike. Alikuwa ana ukaribu sana na vijana wadogo wadogo wa form two hadi form four. Kumbe jamaa yule kutoka kaskazini alikuwa shoga na alikuwa anawashawishi vijana wale kufanya nae mapenzi. Vijana wengi wakampitia. Kijana mmoja rafiki yangu akaja kunipa story za jamaa yule na kuniambia kuwa jamaa anatoa hadi pesa ili umpe umfanye kinyume na maumbile. Nilivyo mdadisi sana kijana yule nikamshauri akatubu kwa padri.
Kijana: baba pdri naungama kwa sababu nilifanya mapenzi na mwanaume mwenzangu.
Sala ikasimama
Padri: eeeeh vipi ulifanya wewe au ulitendewa?
Kijana: mimi ndo niliye fanya.
Baada ya maungamo padri akamshauri yule kijana kuwa asiruidie tena.akasaidia kufanya uchunguzi hatimaye yule kijana shoga akawekwa mtu kati na kuamriwaa rudi kwao by then alikuwa na miaka 31.
Based on very true story.

Soooooo???
 
Back
Top Bottom