PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,998
Pole sana mkuu,. Mambo ya kawaida hayo kwa ndoa za siku hizi.
We muongo mkuu. Hii interface si ya whatsapp web bali whatsapp ya kawaida kwenye simu. Hata psychologically hii haiwezi kuwa story yako. By any chance kuwa ni ya kweli basi wewe utakuwa ni third party tu. Hujui kucheatiwa bro- na wala usiombe.