Nimedanganya jinsia yangu

Maswali ya kujiuliza,1,je simu yako umejisajir kwa jina la kike?2,ulishawai kutaman jinsia yako,3,huwa unaangalia porno za jinsia moja?4,wakati unakubali kuwa mwanamke uliona kawaida?5,je kuna wakati ulibadilisha sauti ilijamaaa asijue kuwa wewe ni mwanaume?Kama majibu ni ndio wewe ni homosexual au tapeli ulie kubuu ila kama majibu ni hapana,wewe unadanganya hakuna ukweli ktk unalosema,Ushauri,mpige mkwara huyo jamaa kuwa umegundua anamtongoza mkeo kwa Namba nyingine na umwambie na viela vyako ulivyomtumia akome kuendelea kutuma
 
We utakuwa shoga!!rudisha hela ya watu au mpaka cku wakukamate wapige kabang ndo utaacha.
 
Mbona hii thread imekaa kama tangazo hivi...

Hapa kuna kidume kinajitambulisha kuwa kinagawa uwemba...

Hizo habari za wozap ni zuga tu...
 
Bull... Shit... Kakojoe ukalale... Thts all u gat to do
 
T 1990 ELY

Yaani umetongozwa mpaka umekubali na pesa ya mwanaume umeweka kibindoni!!! Dah dunia hii!! Kweli umetongozwa na umekubali? Mwanaume???
 
Last edited by a moderator:
ndiyo ujue una elements nyingi za kike!
 
Hapo naona wote mnamakosa.Huwezi mdanganya mtunkuwa wewe ni mwanamke na akafanya miamala yake.Naye atawezaje kuchat na mwanaume halafu asielewe.Nashuauri urudishe hiyo hela maana ukila utakuwa umehongwa na utatakiwa kuilipia
 

Hapo kwenye ushauri upo sawa kabisa mkuu
 
Hapo naona wote mnamakosa.Huwezi mdanganya mtunkuwa wewe ni mwanamke na akafanya miamala yake.Naye atawezaje kuchat na mwanaume halafu asielewe.Nashuauri urudishe hiyo hela maana ukila utakuwa umehongwa na utatakiwa kuilipia
Labda ni zee la miamala mkuu,laki si pesa million hela ya chai(katuma sms hiyo)
 
Naona Mda Si Mrefu Unanukia Kuzibuliwa Mfereji Wa Majitaka! Shaur Yako Anza Kupakaa Mafuta Ya Kurainisha 0713 Yako
 
Dunia ina mambo..... umelikoroga jiandae kulinywa. Hainiingii akilini kuwa huku dhamiria..
 
Dunia ina mambo..... umelikoroga jiandae kulinywa. Hainiingii akilini kuwa huku dhamiria..

Nilikuwa sijadhamilia mkuu,ila alivyosema atatuma nauli mmmmmm nikafikilia atatuma kweli au mara muamala huu hapa duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…