Nimechoshwa na demand za huyu kimanzi kpya

Nimechoshwa na demand za huyu kimanzi kpya

yaani kila kukicha anaamka na kitu kipya cha kudemand ,eti ntaka cimu mpya eti ya zmani haipigi picha vizuri, na kuomba pesa ya ,misuko ya nywele yaani maombi hayo kama wimbo wa taifa nifanyeje jama na hata utamu wake cijauonja

kuwa na msimamo,ajue ukomo wa fedha zako.
 
yaani kila kukicha anaamka
na kitu kipya cha kudemand ,eti ntaka cimu mpya eti ya zmani haipigi
picha vizuri, na kuomba pesa ya ,misuko ya nywele yaani maombi hayo kama
wimbo wa taifa nifanyeje jama na hata utamu wake cijauonja
samahan una umri gani? ukinijibu ntaendelea.
 
  • Thanks
Reactions: amu
tatizo hapo wala sio ana tabia mbaya,hayo ni mambo ya kawaida tu!km huwezi kumtimizia hayo mahitaji mwache,wapo wanaoweza eti. coz ucpompa ww wapo watakao mpa.....au ndo nyie ukienda kumuapproach adivertisement kibao?coz najua hawezi kukuomba kitu ambacho anajua huna uwezo nacho,unless ......
 
Hivi unadhani kuna msichana utakae kutana nae hapendi pesa? na hatakama hakuombi ila anatamani umpe, na nyie mkiona mtu haombi huwa hamtoi kwa hiyari unakaa unategea kama atakuomba au lah, badae unaachwa kimya kimya bila taarifa............. maana kuna watu sio bahili ila ni wachoyo yani niwachoyo mpaka kero, nauli ya daladala yenyewe kila mtu anajilipia na umepanda na boyfriend LOL!!!! kwanin nisikuache mchana kweupee.......... na kama ni mchoyo utaachwa na wanawake kila kukicha.
 
  • Thanks
Reactions: amu
yaani kila kukicha anaamka na kitu kipya cha kudemand ,eti ntaka cimu mpya eti ya zmani haipigi picha vizuri, na kuomba pesa ya ,misuko ya nywele yaani maombi hayo kama wimbo wa taifa nifanyeje jama na hata utamu wake cijauonja

Usiburutwe mapenzi sio pesa japo pesa ndo kila kitu, angalieni vyanzo vyenu vya uchumi vikoje, sioni taabu ukimshiti.
 
hapo ndipo wengi wetu hukumbuka sana watu wetu wa zaani, zile relatioship tunazo break na kuona kuwa tumewakomoa!!! Pema si pema........
 
Jaman yani demu keshaanza kula vya kwako hata kabla ww hujamvua hata chupi?! Hiyo biashara ina hasara kuliko faida, take care utamaliza mtaji afu faida isionekane.
 
yaani kila kukicha anaamka na kitu kipya cha kudemand ,eti ntaka cimu mpya eti ya zmani haipigi picha vizuri, na kuomba pesa ya ,misuko ya nywele yaani maombi hayo kama wimbo wa taifa nifanyeje jama na hata utamu wake cijauonja

Najua ushauri uliokuwa unautegemea ni kumpiga chini, ukaona utuongezee hako kamstari kenye red ili tukupe ushauri namna ya kummega fasta alafu umpige chini, au siyo.............
 
yaani kila kukicha anaamka na kitu kipya cha kudemand ,eti ntaka cimu mpya eti ya zmani haipigi picha vizuri, na kuomba pesa ya ,misuko ya nywele yaani maombi hayo kama wimbo wa taifa nifanyeje jama na hata utamu wake cijauonja

umefungiwa hapo na kofuli?ka vipi sepa
 
mkawekeane mkataba
ela ya simu mpya = papuchi day * 7,
ela ya msuko = papuchi day * 1
 
Kama huna meno using'ang'anie mfupa.....utatoboa fizi!!!!!

Nashangaa anakuja kulia lia hapa! Senti zake zinamuuma kuzitoa huku anavizia utamu kutoka kwa bidada,kwani mkeo huyo?
Mwendo wa barter trade tu!!!!!!!
 
Nashangaa anakuja kulia lia hapa! Senti zake zinamuuma kuzitoa huku anavizia utamu kutoka kwa bidada,kwani mkeo huyo?
Mwendo wa barter trade tu!!!!!!!

Ennie ndo awaachie wenye pesa.....!Mambo yakulialia hata hayafagiliwi.
 
Last edited by a moderator:
mwambie huyo, sasa asipompendezesha beb wake anataka apendezeshewe au?

Akikuta bint kasuka kapendeza anakenua "You look good" nani ame fund hajiulizi. Kuna watu wala hawajui majukumu yao masikini. Kuna kuishiwa mara moja moja bint ataelewa sio wewe January mpaka December huna tu.
 
Back
Top Bottom