Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Reyna..Dalili ya mvua ni mawingu!!Hapo kuna uwezekano wa mambo mawili aidha huyo mumeo anakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa au ni mkweli..Ingelikuwa ni mimi binafsi nisingemuamini BURE tu...Ingembidi lazima ani´convince kwa umakini zaidi kuhusu mahusiano yake na hao wanawake...Hata nisingekubali kirahisirahisi tu kwamba hao wanawake ni marafiki,kwani hajui kwamba watu wakishakuwa kwenye ndoa lazima wawekeane mipaka kuhusiana na urafiki wa jinsia tofauti...Hapa kuna ulakini..Mchunguze kwa umakini mumeo nina imani hayupo mkweli kwako...
Last edited by a moderator: