Acheni kupiga kelele kwa maneno ya mitaani.
Nenda ofisi ya Tigo iliyo jirani nawe;ili kupata majibu ya tatizo lako.
Unaweza ukawa unaweka vocha wakat data iko on
True mkuu kama data iko on lazima aliwe tu afu analalamika oooh tigo wezi
Kwa kwel mtandao wa tigo umeniudhiiii kiasi cha kufikiria kuvunja vunja line yao...
Wamekua wapuuzi sana...kila nikiweka salio wanakata....nikiweka jero wanakata.....inabak kama 200 ivi muda ule ule nikiuliza salio mara mbili wanaikata mpaka na io mia mbili...nikiweka tena vocha wanakata....sijakopa wala sijajiunga na huduma zao za kulipia.wiki nzima hii kila nkiweka vocha wanakata.
Napiga customer care toka jiz hawapokei simu......nimewachoka!!
Pia hata internet yao ipo very slow........am so tired kwakwel kesho nakopy majina kwenye laini nyingine nawahama....nimechoka....nasema tigo nimechoka na wizi wenu