Jay10
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 724
- 560
Poleee xana kwa depression uliyonayo...... Hii dunia ya ajab sana na mungu nae ni waajab kama ilivyo dunia yake............ Kuna watu wanataman kuwa na ajira lakin ww unaona haina maana kwako...... Na mengine kama hayo..... Kifup ulichonacho huwa hukithamin had ukikose.........Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
Kwanza kabsa hujatueleza action uliyofanya time ago which activated the krama law in your life...... Pili inaonesha kuwa una hofu ya mungu... Bas nakusihii ujipatanishe na mungu...... Na mungu yuko wap!?... Jib ni ndani yako..... Ur spirit that Baer your mind ndio mwil wako wa kimungu hvyo ukiacha kuish kwa kutegemea mwil wako wa nje bas aman na furaha yako ya kuisha itarejea......... Amin kuwa mungu anakupenda sana na ndio mana amekupa uhai unaoukataaa sasa.........
Pia nachokisoma kwako ni kuwa furaha yako na aman yako inaeneshwa na vitu vilivyo nje ya mwili wako....... Kitu ambacho ni makosa makubwa...... Endelea kuwa karb na mungu hakika utaona Thaman ya maisha mungu aliyokupa
