Nimechoka kuwa single ,nahitaji mpenzi tupendane kwa dhati.

Nimechoka kuwa single ,nahitaji mpenzi tupendane kwa dhati.

katika swala Zima la kutafuta Mke inabidi uiacha nature ikuletee.
Demu tafuta ila mke hatafutwi,mke anakuja mwenyewe tu.
Nagongea msumari 🔨📌📌 ya kwamba mke hatafutwi, mke anakuja nwenyewe tu. Tengeneza mazingira, muombe Mungu. Mimi wa kwangu nilikutana naye UDSM umbali wa mita miamoja kati yangu nayeye hapakuwepo mtu tena katika jamii ya watu wengi ulikuwa mwujiza. Kilichokuwa kinaendelea ndani yake ndo kilikuwa kinaendelea ndani yangu na aliponifikia alisimama mwenyewe nikamuomba namba akanipa nikasepa naye kasepa tukaanzia hapo. Sasa tukikumbushiana tulivyokutana ubaki tukicheka 🥰
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom