Upo wapiNakuombea Ila kuna uzi upitie kwanza
YapoKupata mapenzi ya dhati sawasawa na kudeki bahari
Mungu akujaalie yaliyo mema uweze kufanikiwa ktk hitaji lako na uijenge familia iliyo bora maishani mwako.Nahitaji mchumba tupendane kwa dhati, kwa idhini ya Mungu aniite mume nimuite mke
Vigezo vya nimtakae ni hivi.
1 Awe anaishi dar
2 Asiwe na mtoto.
Dini sibagui
Mimi pia naishi dar
Umri wangu 33
Dini yangu muslim.
Thread 'Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume walio kwenye ndoa na wanaotarajia kuingia kwenye ndoa' Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume walio kwenye ndoa na wanaotarajia kuingia kwenye ndoaUpo wapi
Kuweni seriously kidgo 😂😂😂Utapata Ila ukikosa JF usikose kutembelea na FB au IG
Kwanini huna mood ?Nahitaji mchumba tupendane kwa dhati, kwa idhini ya Mungu aniite mume nimuite mke
Vigezo vya nimtakae ni hivi.
1 Awe anaishi dar
2 Asiwe na mtoto.
Dini sibagui
Mimi pia naishi dar
Umri wangu 33
Dini yangu muslim.
Kwa hii comment yako mkuu natangaza rasmi kua hii thread imefungwa.Kwa nn mtu anakuja mtandaon kutafuta mwenza ? Like serious? Unaweza kujenga mahusiano na stranger? Kwamba jamii unayoishi amna mwanamke anayekufaa? Nitakuwa wa mwisho kuamini !
Mtadaoni unaweza kupata kipoozeo tu kama uko safarini lonely unaweza zama tinder, badoo n.k (japo sikushauri), na sio pa kupata life time partner
Sikia mkuu, hapo hapo mtaani unapoishi unaweza jipatia mke mzuri sana mwenye vigezo vyako vyote !
Jichanganye unakoabudu (kanisani/msikitini)
Masokoni
Mtaani n.k !
Pointi kubwa sanakatika swala Zima la kutafuta Mke inabidi uiacha nature ikuletee.
Demu tafuta ila mke hatafutwi,mke anakuja mwenyewe tu.
Akisha pendwa atabadilika mkuu 😂 😂Mtu huna mood utapendwa aje??
Nikitaka cha asubuhi atanambia hana mood😅Akisha pendwa atabadilika mkuu 😂 😂
Wapo hata huku na anaweza kupata the best version.. Tusimkatishe tamaaKwa nn mtu anakuja mtandaon kutafuta mwenza ? Like serious? Unaweza kujenga mahusiano na stranger? Kwamba jamii unayoishi amna mwanamke anayekufaa? Nitakuwa wa mwisho kuamini !
Mtadaoni unaweza kupata kipoozeo tu kama uko safarini lonely unaweza zama tinder, badoo n.k (japo sikushauri), na sio pa kupata life time partner
Sikia mkuu, hapo hapo mtaani unapoishi unaweza jipatia mke mzuri sana mwenye vigezo vyako vyote !
Jichanganye unakoabudu (kanisani/msikitini)
Masokoni
Mtaani n.k !
Thread 'Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume walio kwenye ndoa na wanaotarajia kuingia kwenye ndoa' Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume walio kwenye ndoa na wanaotarajia kuingia kwenye ndoaUpo wapi