Mapenzi ya kweli na ya dhati hayataki uongo, umesema unampenda macho juu juu na sms za mapenzi kwa wanawake wengine vinakuhusu nini tena??si ungetulia na huyo girlfriend wako??Uongo unatuponza sana sisi wanaume kwenye mapenzi. Kimsingi kama mwanamke alikuamini 100%, umeshapoteza sifa ya kuaminiwa. Unaweza pambana kumrejesha mwisho wa siku naye ataanza kukudanganya mana ushamtenda. Kikubwa hapo kubali hasara anza upya na utakayempata usimfanyie hivyo tena.Nilikuwa na girlfriend niliyempenda sana, lakini ikajatokea tukaachana kisa ujumbe mfupi wa kwenye simu yangu. Nimemuomba msamaha miezi miwili sasa lakini hataki kunielewa, na nafsi yangu bado inamhitaji. Nitafanyaje sasa ili turudiane.?
uwe unaakili za kujiongeza,some tymes wapenzi huchokana ,inavyoonyesha ww umechokwa! sepa fasta!!
Tafuta mwingine.
hata mimi nishafikiria ni nini kingine nilichomuudhi nacho lakini sipati jibu.
Nadhani msg ilikuwa ya kuumiza Feis kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukuacha kwa style hii
<br />hupati jibu???<br />
vp kwenye maniaje, ulikaba????????
afadhali alifanya maamuzi yaliyo sahiihi ule wakati wa kunyenyekea wanaume kama tunapokea sakramenti umeisha ukiona havieleweki unachapa mwendo utajua mbele kwa mbele . mama zetu ndo walikuwa wanayaweza hayo kwa sababu walikuwa ni mama wa nyumbani tu wasiokuwa na sy yoyote,wanawake wengu wa siku hizi hawaha hayo maujinga ya kumfuma mwanaume then unambembeleza cha muhimu ukishakuwa na maisha yako yaliyosimama mwanaume hakupeleki peleki hovyo kama mlevi wanawake tujitahidi sana kujikwamua kimaisha kazi au bihashara yako ndio mume wa kwanza then ndo wanakuja hao wame number mbili. kwa kweli nampongeza sana huyo dada kwa kukutosa coz hujielewi unahitaji nini kwenye maisha yako
<br />
<br />
ee bwana huko ilikuwa bado, coz still ni mwanachuo ndio anamaliza nxt year na tumefahamiana ka miezi nane iliyopita. I mean mwezi wa pili.
afadhali alifanya maamuzi yaliyo sahiihi ule wakati wa kunyenyekea wanaume kama tunapokea sakramenti umeisha ukiona havieleweki unachapa mwendo utajua mbele kwa mbele . mama zetu ndo walikuwa wanayaweza hayo kwa sababu walikuwa ni mama wa nyumbani tu wasiokuwa na sy yoyote,wanawake wengu wa siku hizi hawaha hayo maujinga ya kumfuma mwanaume then unambembeleza cha muhimu ukishakuwa na maisha yako yaliyosimama mwanaume hakupeleki peleki hovyo kama mlevi wanawake tujitahidi sana kujikwamua kimaisha kazi au bihashara yako ndio mume wa kwanza then ndo wanakuja hao wame number mbili. kwa kweli nampongeza sana huyo dada kwa kukutosa coz hujielewi unahitaji nini kwenye maisha yako
ameona ni danganya toto kaamua kusepa
mapenzi hayabembelezwi tafuta kitu kingine kikali ahaaa
wanawake wamejaaa everywhere tena wanaombea!! such love never exists miaka hii bro. Take your time.[/B]