Nimechoka kutumia Tecno

Nimechoka kutumia Tecno

MfalmewaKiha

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2017
Posts
1,191
Reaction score
1,247
Habari za asubuhi,

Naombeni msaada,

Mimi ni Mshamba kiasi flani, tangu nitumie simu /nibadilishe simu nimekuwa nikitumia aina za Tecno, nikianza na P5, nikaja kwa Tecno Phantom min, J7 sasa leo nahitaji kununua sim aina nyingine, sihitaji Tecno, nina laki 350, niko Arusha.

Msaada tafadhali.
 
Habari za asubuhi, Naombeni msaada, mimi ni Mshamba kiasi flan, tangu nitumie sim /nibadilishe sim nimekuwa nikitumia Aina za Tecno, nikianza na P5,nikaja kwa Tecno Phantom min, J7 sasa leo nahitaji kununua sim Aina nyingine, sihitaji Tecno, nina 350 Lack, niko Arusha. Msaada tafadhari.
nichek inbox
 
Habari za asubuhi,

Naombeni msaada,

Mimi ni Mshamba kiasi flani, tangu nitumie simu /nibadilishe simu nimekuwa nikitumia aina za Tecno, nikianza na P5, nikaja kwa Tecno Phantom min, J7 sasa leo nahitaji kununua sim aina nyingine, sihitaji Tecno, nina laki 350, niko Arusha.

Msaada tafadhali.
ungekuwa Dar kesho ningekupeleka Dukani, ila Arusha!!
 
Mi natumia tecno cx. Tusidanganyike na hizi band ukiondoa iPhone na kulia. Android iwe Samsung au tecno they are almost the same. Hii yangu imetulia sana. Walinichapa Samsung j5 na sasa niko na hii cx
 
Habari za asubuhi,

Naombeni msaada,

Mimi ni Mshamba kiasi flani, tangu nitumie simu /nibadilishe simu nimekuwa nikitumia aina za Tecno, nikianza na P5, nikaja kwa Tecno Phantom min, J7 sasa leo nahitaji kununua sim aina nyingine, sihitaji Tecno, nina laki 350, niko Arusha.

Msaada tafadhali.
Mkuu nunua samsung Grand Prime. ni simu bomba kabisa hautojutia. bei yake ni 290,000 au 270 kama sikosei.. hutojutia mkuu
 
Tafuta laki 5 tu ujipatie Infinix zero 4, ufurahie ulimwengu maridhawa.. Iko pw sana.. Nishasahau Techno
infinix zero 4 hapa sirari upande wa kenya inauzwa laki4 tu lakini kama alivyosema mdau hapo juu infinix haina tofauti yoyote na tecno maana ninayo hapa infinix note3 ya bi mkubwa ni janga tu, mediatek sio simu kabisaaa
 
infinix zero 4 hapa sirari upande wa kenya inauzwa laki4 tu lakini kama alivyosema mdau hapo juu infinix haina tofauti yoyote na tecno maana ninayo hapa infinix note3 ya bi mkubwa ni janga tu, mediatek sio simu kabisaaa
Hivi tatizo ni mediatek au tatizo ni ukubwa wa ram na processor kuwa ndogo kwenye hizi simu cheap?
 
Habari za asubuhi,

Naombeni msaada,

Mimi ni Mshamba kiasi flani, tangu nitumie simu /nibadilishe simu nimekuwa nikitumia aina za Tecno, nikianza na P5, nikaja kwa Tecno Phantom min, J7 sasa leo nahitaji kununua sim aina nyingine, sihitaji Tecno, nina laki 350, niko Arusha.

Msaada tafadhali.
Ingia jumia uagize utaletewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom