Nimechoka Kuota Napaa Usiku

Nimechoka Kuota Napaa Usiku

nyingine inayonitesa ni kuota nipo darasani , haswa msingi , o level na advanced. Chuo mara chache . Huwa zinanipa huzuni sana hizi ndoto
Mi kila siku naota hivi ila niliambiwa nimechezewa kielimu.
 
Nimechoka Kuota Napaa Usiku...

Ni mwaka Sasa mara kwa mara nimekuwa naota Napaa angani au kucheza mchezo WA kupaa milimani au angani na kutua vizuri tu bila matatizo yoyote uku nikifurahi

Kuna muda naota Kuna tatizo linatokea na tukiwa sehemu watu wengi na mi pekee nafanikiwa ku escape kwa kupaa uku nikiwaacha wengine wakishindwa kuescape,siku nyingine naota Napaa angani uku nikiwa na furaha sana

Hiyo Ndoto inamaanisha nini kwa wajuzi wa mambo ya Ndoto?
hapa inamaanisha wanakufunisha, soon watakupa vitendea kazi
 
Sa mi ni mara kwa mara aisee
Endelea kuwabonda ivoivo na mapigo ya TI-CHI,

binafsi sihitaji ku complicate mambo , kama game zote nashimda na kupaa kumkimbia adua atambaae ardhini naweza , nkiamka ni mwendo wa kushangilia ushindi
 
Thanks bro,iyo Ndoto imekuwa inanirudia nilikuwa Kila siku natamani kuleta umu jamii forum ila nahailisha nikaona Leo niwashilikishe,ila kiukweli mi ni mtu mwenye IQ kubwa tangu utotoni na mtu nayependa kujifunza muda wote na Ni introvert mambo yangu Hadi kufikia kumaliza elimu ya secondary yalikuwa poa sana ila mambo yalianza kuwa magumu sana baada ya kufika chuo na kuanza ulevi na kula Malaya na mademu WA mitaani na kuwagawia pesa zangu,nahisi Nina mikosi niliyoipatia uko maana tangu nimalize chuo nimekuwa na gundu zaidi yaani nishaaply kazi zaidi ya mara 100 ila nishapata 1 tu nayo haikudumu,na sa hivi napitia kipindi Cha ujobless ni kama nime stack tu
Bro kwanza hii imani yako ya madem ndo imekufanya kuwa hivyo itoe kabisa mkuu.shida ni wewe sabab sidhani kama kuna mwanamke anakuja kukushikia grasi ya bia. Hatima ya maisha yako unayo wewe hivyo chukua hatua acha kukata tamaa.kuhusu wanawake basi mfalme Suleiman angekuwa na laana hatari
 
Nchi hizi uhuru umezidi mtu anapaa usiku anaenda kwenye shughuli zake wala haulizwi ~jokes


Any way Hilo ni tatizo fanya maombi hasa ukiwa unalala
 
Mkuu sioti nikiwa darasani nafundshwa ila naota nipo either mazngira ya kishule au nikiwa na watu ambão nimewahi soma não mahali fulani,
Ndio tafsiri hiyo hiyo,

Yaani maarifa Yako kiroho yapo nyuma kiasi ambacho unaishi ktk mwili stage ambayo hukustahili kuwapo.

Maombi yatapandisha level Yako kiroho, utajikuta maisha pia ktk mwili yanabadilika.
 
Kuota unapaa ni ushindi mkubwa na mafanikio
 
Aisee!? Huo ni mtiani Sasa. Kwa hali yangu kithembe, sina sauti kubwa, nachukia haraka, sipendi kukaa kwenye kundi kubwa LA watu na sio muongeaji wala mcheshi. Labda kama ina maana nyingne
Mungu akikuchagua haangalii mapungufu yako, ila anakukubali na kukuinua hivyohivyo..
 

Soma hapa
 
Ndio tafsiri hiyo hiyo,

Yaani maarifa Yako kiroho yapo nyuma kiasi ambacho unaishi ktk mwili stage ambayo hukustahili kuwapo.

Maombi yatapandisha level Yako kiroho, utajikuta maisha pia ktk mwili yanabadilika.
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom