Nimechoka Kuota Napaa Usiku

Nimechoka Kuota Napaa Usiku

Ndoto kama hiyo mwenzio ujue hapo kampokea Yesu,
Kupaa huko ni Mungu anamuonesha jinsi gani ambavyo Neno la Mungu (Kumjua Mungu) limemsaidia kukwepa vikwazo na matatizo katika maisha.
Utopolo huu
 
nyingine inayonitesa ni kuota nipo darasani , haswa msingi , o level na advanced. Chuo mara chache . Huwa zinanipa huzuni sana hizi ndoto
Tafuta Nuru huwezi kuota ndoto za ajabu lala ukiwa umewasha taa usilale na Giza, Giza ni njia ya waovu usipende kukaa gizani gizani lazima uote mandoto ya ajabu ajabu
 
Ndoto kama hiyo mwenzio ujue hapo kampokea Yesu,
Kupaa huko ni Mungu anamuonesha jinsi gani ambavyo Neno la Mungu (Kumjua Mungu) limemsaidia kukwepa vikwazo na matatizo katika maisha.
Mmmh!!? Bas mm huwa nikipaa siwezi kanyaga chini had nishike sehemu nilazimishe miguu kutua chini. Na kanisan naweza enda x2 kwa mwaka ila ndoto za kuota Nina ubiri mara naombea watu huwa zinakuja mara kwa mara
 
Nimechoka Kuota Napaa Usiku...


Ni mwaka Sasa mara kwa mara nimekuwa naota Napaa angani au kucheza mchezo WA kupaa milimani au angani na kutua vizuri tu bila matatizo yoyote uku nikifurahi

Kuna muda naota Kuna tatizo linatokea na tukiwa sehemu watu wengi na mi pekee nafanikiwa ku escape kwa kupaa uku nikiwaacha wengine wakishindwa kuescape,siku nyingine naota Napaa angani uku nikiwa na furaha sana

Iyo Ndoto inamaanisha Nini kwa wajuzi WA mambo ya Ndoto?
Successful
 
Hiyo ni level malaika wako anapata kupaa.
Zaburi 91:11
Kwa kuwa atakuagizia malaika zake
Wakulinde katika njia zako zote.
Njia za Nuru sio njia za Giza

Elewa maandiko mtumishi yaan hata Mimi nakupigisha msasa

Ngoja aje Kiranga hapa patakucha
 
Ni ndoto za ushindi fanya tu meditation/ tajahudi fokasi kwenye mishe zako utafanikiwa, jaribu vitu vigumu na hatari utatoboa. Usikae sana na watu bila ishu ya maana, usitoe pesa kwa wanawake wa mtaani.
Fanya mambo yote yenye msingi unayoogopa kama kukutana na matajiri, kuomba tenda, kujilipua na zaidi ya hayo. Ukitumia kilevi hakikisha hulewi chakari itaharibu kumbukumbu zako. Kama huna gari nunua mapema sana. Nyumba yako iwe na uzio kama ni chumba basi kiwe self contained.
Unaweza kuwa sahihi mkuu,
 
Nimechoka Kuota Napaa Usiku...


Ni mwaka Sasa mara kwa mara nimekuwa naota Napaa angani au kucheza mchezo WA kupaa milimani au angani na kutua vizuri tu bila matatizo yoyote uku nikifurahi

Kuna muda naota Kuna tatizo linatokea na tukiwa sehemu watu wengi na mi pekee nafanikiwa ku escape kwa kupaa uku nikiwaacha wengine wakishindwa kuescape,siku nyingine naota Napaa angani uku nikiwa na furaha sana

Iyo Ndoto inamaanisha Nini kwa wajuzi WA mambo ya Ndoto?
Siku nyingine usilale kifudi fudi ukapanua miguu ,ukilala funga miguu
 
Unao ulinzi wa Mungu kupitia Malaika wake ndomana anakuepusha Kila unaposhambuliwa.

WATAKATIFU tulalapo Kuna wakati mapepo na wachawi wanaporusha makombora Yao, Malaika hulazimika kumtoa mtu ndani ya MWILI wake Kisha humrudisha tena ktk mwili baada ya shambulio kupita. Kwenye ndoto utaona unapaa.

Wachawi ukiwasimulia ndoto hii watakwamvia wewe mwanga, wakati ktk uhalisia wamekushindwa.

Ukiota unapaa na uko na watu wasioeleweka, mnakwenda msituni, kuua watu ndo lazima ustuke kuwa unatumika na Giza.

Yesu alipaa, Malaika pia walimtoa Petro gerezani Kwa njia hizo hizo, Congo tu hapo, Roho mtakatifu aliwahi kuwajaza waliookoka wakiwa ktk maombi na walipaa kama ndege angani hapo Congo DRC, Elia alipaa pia,nk nk

Usichukie ndoto hiyo, mshukuru Mungu na dumu katika maombi, acha dhambi.

Amen
 
B
Ni ndoto za ushindi fanya tu meditation/ tajahudi fokasi kwenye mishe zako utafanikiwa, jaribu vitu vigumu na hatari utatoboa. Usikae sana na watu bila ishu ya maana, usitoe pesa kwa wanawake wa mtaani.
Fanya mambo yote yenye msingi unayoogopa kama kukutana na matajiri, kuomba tenda, kujilipua na zaidi ya hayo. Ukitumia kilevi hakikisha hulewi chakari itaharibu kumbukumbu zako. Kama huna gari nunua mapema sana. Nyumba yako iwe na uzio kama ni chumba basi kiwe self contained.

Ni ndoto za ushindi fanya tu meditation/ tajahudi fokasi kwenye mishe zako utafanikiwa, jaribu vitu vigumu na hatari utatoboa. Usikae sana na watu bila ishu ya maana, usitoe pesa kwa wanawake wa mtaani.
Fanya mambo yote yenye msingi unayoogopa kama kukutana na matajiri, kuomba tenda, kujilipua na zaidi ya hayo. Ukitumia kilevi hakikisha hulewi chakari itaharibu kumbukumbu zako. Kama huna gari nunua mapema sana. Nyumba yako iwe na uzio kama ni chumba basi kiwe self contained.
Boss upo vizuri Kuna vitu umevitaja nimevi experience kwenye maisha yangu mi ni introvert na creative sana na nilikuwa na uwezo sana darasani aswa primary na Olevel kwa kifupi IQ yangu iko vizuri tatizo limeanzia nilipoanza kula Malaya na kunywa pombe Hadi kupitiliza Kuna muda napoteza kumbukumbu,pia ninapitia kipindi kigumu nimeapply sana kazi tangu graduation 2021 mpaka Sasa ila siitwi interview na saa ingine naitwa muda ukiwa umeenda,ila iyo Ndoto imekuwa ikijirudia
 
Back
Top Bottom