Sir John Deere
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 14,207
- 27,407
Illusions
Hili ndio jibu sahihino sababu unalala umenyosha miguu mkuu,,, usijidanganye kuw pengine kuna cha ziada,,, siku moja lala umekunja miguu uone kama utapaaa,, hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiota unapaa ni ishara ya mafanikio kila wakati kwenye maisha adui kila akitaka kufanya jambo lake unapotea unalindwa sana na MUNGU Sasa kama umechoka mafanikio sawaKuna kipindi nimefululiza sana kuota ndoto za kupaa..ila kuna raha yake, ww sijui umechoshwa na nini?