Sijawahi kubeti ht mara moja alafu mm sio mpnz wa mpira kbs wala michezo ya kubeti ,
kila ninaekutana nae ananiambia i have something big inside of me, sometimes huwa nachukulia simple ila kuna muda nikikaa natafakari sn naona ni kweli ni vile nakosa fursa ya kuonesha upekee nilio nao, mara nying huwa najihc nipo tofauti na kila mtu ninae mjua na ht nisiemjua in a powerful way haijalishi awe na pesa kushinda mm km Elon musk au lah,....
Nakumbuka niliwahi kutana na nabii mmoja akaniambia ishu iliyokua ni ya kweli kwamba natongozwa na waschana yule nabii aliniambia nikae na hão viumbe mbali
nisijishughulishe não.
ukiangalia mm sio mpnz wa pombe,f ujo, kelele nk ila ni mpnz wa jinsia ya pili KE kwa sn ...