Nimechoka kumtetea Dube

Nimechoka kumtetea Dube

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,778
Reaction score
36,002
Kwanza niombe radhi Kwa mashabiki na Wanachama wenzangu wa Yanga, ambao tumekuwa tukivutana kuhusu kiwango cha Dube

Me ni shabiki mvumilivu mno
Dube havumiliki
Ni mchezaji wa kawaida mno
Dube hawezi kutusaidia mechi ya Ahly, FAR Rabat n. K
Kwa striker huyu tumekwisha wakuu
Screenshot_20251109-202858.png
 
Kwanza niombe radhi Kwa mashabiki na Wanachama wenzangu wa Yanga, ambao tumekuwa tukivutana kuhusu kiwango cha Dube

Me ni shabiki mvumilivu mno
Dube havumiliki
Ni mchezaji wa kawaida mno
Dube hawezi kutusaidia mechi ya Ahly, FAR Rabat n. K
Kwa striker huyu tumekwisha wakuu
View attachment 3499532
Ngoja tuone
 
Timu bado mbovu mno yaani fitness nayo hakuna, nimeangalia mechi mpaka nikaogopa jinsi tutakavyokula za kutosha klabu bingwa. Inawezekana iina laana ya kuchangia CCM ndio inaitafuna hii timu tutalaumu kila kocha msimu huu.
 
Ulimwandikia na uzi kabisa wa kumsifia kuwa ni mchezaji wa kuji position ana fit kwenye mfumo huku ukijipa misifa kwa wewe ni kocha mzoefu unajua sana mpira na kumjua mchezaji anaye kupa vitu vizuri uwanjani.
Nimeomba radhi mkuu
Yanga bingwa
 
Nimeomba radhi mkuu
Yanga bingwa
Sawa ila ukiachana na Dube bado timu ina ugonjwa mkubwa sana timu ikiwa haina mpira. Kuna mianya mingi sana inaachwa, timu inapitika kirahisi mno. Bora hata kwenye ulinzi tungekuwa solid ingetumika mbinu ya kushikilia bomba kisha kutumia counter attack.
 
Sawa ila ukiachana na Dube bado timu ina ugonjwa mkubwa sana timu ikiwa haina mpira. Kuna mianya mingi sana inaachwa, timu inapitika kirahisi mno. Bora hata kwenye ulinzi tungekuwa solid ingetumika mbinu ya kushikilia bomba kisha kutumia counter attack.
Kweli nadhani coach a opt kumtumia kiungo mkabaji asilia kama Balla Conte.
 
Back
Top Bottom