joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,843
- 39,468
Timu haina number 10,Dube mwenyewe leo hajapata nafasi ya maana,Doumbia mzito hana kasi hata kufanya maamuzi anachelewa. Ndio maana wakati wa usajili huwaga sipendagi kuwasikiliza wasemaji mara nyingi wanatuingiza chaka.Kwanza niombe radhi Kwa mashabiki na Wanachama wenzangu wa Yanga, ambao tumekuwa tukivutana kuhusu kiwango cha Dube
Me ni shabiki mvumilivu mno
Dube havumiliki
Ni mchezaji wa kawaida mno
Dube hawezi kutusaidia mechi ya Ahly, FAR Rabat n. K
Kwa striker huyu tumekwisha wakuu
View attachment 3499532
Yanga msimu huu ilikuwa inahitaji kujaza nafasi ya Ki,Ikangalombo na Musonda na kocha angebaki yuleyule. Ila ndio hivyo kila msimu wanataka kusajili wapya ili watrend kwenye social media na vyombo vya habari, wakati timu ilikuwa haihitaji mabadiliko makubwa.
Alivyo ingia yule dogo na Ecua ndipo mpira ukabadilika.Ila kwa Yanga hii,tusiwe na matarajio makubwa CAF ila kocha anatakiwa apewe ushirikiano dirisha dogo.