tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Juzi mwalimu kaniambia 2+4=6, jana anadai 12/2=6. Mi nishike lipi jamani, nimechoka na huu uongo.
na wewe unajiita Great thinker? Mbona una mkwamo wa mawazo kiasi hicho? Au kuna maana yako tofauti ya GT?Aise ustahili kujiweka kwenye kundi la great thinkers kama utaendelea kuandika pumba hizi.