Nimechezea za mbavu leo

Nimechezea za mbavu leo

Habari za muda huu wapendwa katika bwana,natumaini nyote mu wazima.

Niende moja kwa moja kwenye mada,Leo mchana katika mizunguko angu ya hapa na pale nkakutana na demu ambae niliwahi kumfukuzia kimtindo nikiwa 2nd year but hatukufikia popote coz binti alkua ka mtoto wa geti Kali kimtindo..

Leo nilivyokutana nae,sikusita kuomba namba na kukumbushia mawili matatu,namba nilipewa.
Nimekaa nimetulia jioni ya leo nkaona nimchombeze tena kanitolea nje....
Wataalamu wa rada,mabaharia wapi nimekosea..
Nimepanga kumpotezea sema nimekuja kuchukua madesa incase fursa nyingine ikipatkana..
Au niongeze utundu gani nmnase Leo tumeishia apo.
Umri wake una range 17-19.
No greater love#View attachment 2517801
Mi nahisi ulikua umeshampoteza hata kabla hamjaanza mazungumzo, ayo mazungumzo yanaonesha umempa nafasi kumpa hata kabla hamjafikia hapo.
Inaonesha hata kwenye mazungumzo yenu ya kabla ulikua unamuachia uongozi yeye, alafu wewe unakua unaburuzwa kwa kila anachokisema.
Mi naona uanzie hapo.
Uanze kuwa kiongozi wewe sio mwanamke. Mwanamke ndo inabidi akuombe penzi sio wewe. Kama Carlos The Jackal alivokuambia.

Pia hapo sijaona hata sehemu moja umemchombeza. Kuchombeza ni mnaongea vitu visivyo na mantiki vitu vya hisia. Mfano iyo text ya kwanza ungemjibu "naona unaniomba nafasi ya kuwa wangu"/ "mapema yote hii ushaanza kuwa na wivu?" au chochote kitachomrudishia swali yeye na sio kujibu kama vile ni swali la necta.

Achana na muvi za kikorea au izi za Hollywood zinazomuonesha mwanaume ana omba omba penzi.
 
Kwanza unakosea sana mimi nikichukua namba kwa demu naweza kukaa hata week sijamtafuta na mara nyingi anakuwa hachomowi halafu punguza shobo na demu mara ya kwanza siku ya unaweza mtumia usiku mwema na shughuli inaanzia hapo akiuliza ww nani unaanza story hapo sasa sio umepewa namba asubuh mchana tayari ushaanza usumbufu text kibao usiku tena text punguza shobo na hao viumbe.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
💯🤝 lazima mwanamume ujue jinsi ya kubalance shobo kwa demu.
 
japo wamekuponda sana mwamba ila nikupe tano ya kujaribu. kutongoza ni kazi sana ..yani kumshawishi mtu mzima mpaka akubali sio ishu ndogo mjue
😄😄Iko wazi...Kuna watu hapa wanajifalagua wanayaweza Ila uliza kiatu..
 
Habari za muda huu wapendwa katika bwana,natumaini nyote mu wazima.

Niende moja kwa moja kwenye mada,Leo mchana katika mizunguko angu ya hapa na pale nkakutana na demu ambae niliwahi kumfukuzia kimtindo nikiwa 2nd year but hatukufikia popote coz binti alkua ka mtoto wa geti Kali kimtindo..

Leo nilivyokutana nae,sikusita kuomba namba na kukumbushia mawili matatu,namba nilipewa.
Nimekaa nimetulia jioni ya leo nkaona nimchombeze tena kanitolea nje....
Wataalamu wa rada,mabaharia wapi nimekosea..
Nimepanga kumpotezea sema nimekuja kuchukua madesa incase fursa nyingine ikipatkana..
Au niongeze utundu gani nmnase Leo tumeishia apo.
Umri wake una range 17-19.
No greater love#View attachment 2517801
Kitoto hivi ndo maana anakutolea nje. Tafuta hela.
 
Habari za muda huu wapendwa katika bwana,natumaini nyote mu wazima.

Niende moja kwa moja kwenye mada,Leo mchana katika mizunguko angu ya hapa na pale nkakutana na demu ambae niliwahi kumfukuzia kimtindo nikiwa 2nd year but hatukufikia popote coz binti alkua ka mtoto wa geti Kali kimtindo..

Leo nilivyokutana nae,sikusita kuomba namba na kukumbushia mawili matatu,namba nilipewa.
Nimekaa nimetulia jioni ya leo nkaona nimchombeze tena kanitolea nje....
Wataalamu wa rada,mabaharia wapi nimekosea..
Nimepanga kumpotezea sema nimekuja kuchukua madesa incase fursa nyingine ikipatkana..
Au niongeze utundu gani nmnase Leo tumeishia apo.
Umri wake una range 17-19.
No greater love#View attachment 2517801
Kwanza kayapange vyema mafaili kichwani kwako kisha mtokee tena
 
Unatongoza Unamuuliza Demu ,.... Hunitaki?.

 Unatongoza unamwambia Demu ... Vipi kuhusu ombi langu?.

Mbona Kila siku nawapa shule za Hawa viumbe lkn hamuelewi tuu?.

mwanamke yoyote anataka " attention and Desire " yaan mwanamke anataka wewe umtake .. na ukishaonyesha kumpa hivo viwili, Huwa Sasa Mpira ni wake , anakua na power ya kuexercise u feminine wake .....JAMBO AMBALO MTONGOZAJI HUTAKIWI KULIRUHUSU.



mwanamke unatakiwa umtongoze katika Angle ya kumfanya yeye akufukizie wewe ,yaan ajione akikukosa atakua kapoteza bahati.




nadhan inabidi nianze kuwaandilia Vi -PDF niwalete humu.
Vijana hamjui kutongoza kabisaaaaa .

Na mbaya zaidi, hujakulia kile kipindi chetu Cha kutokua na simu.

Demu anasoma shule ya Mkoa mwingine,
Unaandika Barua yenye Kurasa sita.

Hawa madogo wangeweza kweli??



Si Barua nzima ,ingejaa maswali utadhani unafanya post internship examination?.

WANAWAKE HAWAPENDI MASWALI, NI NATURAL DEEPEST NEEDS YA WAO KUTOTAKA MASWALI. IN FACT WANADAM TUMEUMBWA, KUTOKUTAKA MASWALI .
Mkuu, Ongeza darasa vijana wajifunze
 
Toa SoMo mkuu..
Utabalance vipi shobo kwa demu unaetaka upige show bila kuchukua muda...Mimi lengo langu ndani ya wiki moja au mbili Nile tunda kitakachofata ye ndo atachagua kuendlea au la...yaani kawaida angu demu nkishakula tu sihangaiki nae tn
 
Unatongoza Unamuuliza Demu ,.... Hunitaki?.

 Unatongoza unamwambia Demu ... Vipi kuhusu ombi langu?.

Mbona Kila siku nawapa shule za Hawa viumbe lkn hamuelewi tuu?.

mwanamke yoyote anataka " attention and Desire " yaan mwanamke anataka wewe umtake .. na ukishaonyesha kumpa hivo viwili, Huwa Sasa Mpira ni wake , anakua na power ya kuexercise u feminine wake .....JAMBO AMBALO MTONGOZAJI HUTAKIWI KULIRUHUSU.



mwanamke unatakiwa umtongoze katika Angle ya kumfanya yeye akufukizie wewe ,yaan ajione akikukosa atakua kapoteza bahati.




nadhan inabidi nianze kuwaandilia Vi -PDF niwalete humu.
Vijana hamjui kutongoza kabisaaaaa .

Na mbaya zaidi, hujakulia kile kipindi chetu Cha kutokua na simu.

Demu anasoma shule ya Mkoa mwingine,
Unaandika Barua yenye Kurasa sita.

Hawa madogo wangeweza kweli??



Si Barua nzima ,ingejaa maswali utadhani unafanya post internship examination?.

WANAWAKE HAWAPENDI MASWALI, NI NATURAL DEEPEST NEEDS YA WAO KUTOTAKA MASWALI. IN FACT WANADAM TUMEUMBWA, KUTOKUTAKA MASWALI .
Umenichekesha na umenigusa pale pale kwangu.

Mm ni kama sijawahi kutomgoza. Sometimes maji assess naona m Ina kama suwez kutongoza? Lkn nawala....?

Nafanya hivi nikimtaka Dem najipitisha, nikiona nimemteka kuptia maongez namvuta sehemu natumia weakness yake, kama ni mlevi namleta huko. Kama sio ni MTU wa Mungu nampeleka huko, kama ni mzuri sanaaaaa na watu wanamndea Sana sihangaiki kabisa.

Anyway Kuna wakati natumia potential yangu...

Uwongo mbalimbali kama kukuoa, kama ni mpenda pesa utakula lkn nilimaliza tu hata mia sijupi.

Kuna wakati nimishazoeleka Sana sehemu nahamia sehemu ingine ambako hawanifaham,

Jambo ambalo sitasahau enzi ya udsm room wote tuna madem na tuliwagonga Kwa pamoja Kila mtu kwenye bed lake, mwenye milio mingi ndio tylitunia kama rythym
 
Kanuni namba moja ya kutongoza ni usitongoze kwa simu.

Demu wa chuo kwenye simu atakushinda tu. Maana anakuwa na muda mrefu wa kutafuta jibu, na pia anakuwa na kamati ya kumshauri.

Kwenye simu ponapona yako ni kama kamati yake itamshauri kuwa akukubalie. Ila kama ikikataa basi huna chako.

Dem wa chuo anatongozwa uso kwa uso. Kama uko chuo ni rahisi zaidi, maana mnaweza kukutana au hata kutembeleana vyumbani hosteli.

Ila kama hauko chuo tengeneza mazingira ya demu aje getto.

Sasa jinsi ya kutengeneza mazingira ya yeye aje kwako inategemea na ulivyomsoma huyo dem anapenda nini.

Kwenye stori za kwenye simu acha kabisa kumuomba akukubalie au kumwambia habari za mapenzi.

Kwenye simu ongea naye habari za kawaida tu (kama za udaku wa Manara na wake zake, za Mwaka na talaka yake, za wasanii wa Bongo Fleva, mitindo ya nguo, n.k.).

Ila muhimu ni hakikisha unamgusia na habari za kitu anachopenda ambacho unaweza kukitumia kumualika aje getto kukichukua au kukiona.

Mfano kwa madenti wengi kuna ishu za kupata field mahali wanakolipa au mahali anakoweza kuajiriwa akimaliza chuo, ishu ya kukata rufaa bodi ya mikopo, na ishu za ajira akimaliza chuo.

Jibrand aamini kwamba unaweza ukamsaidia katika ishu kama hizo.

Kwenye simu yako sevu wadau wako katika utapeli wa mapenzi kwa majina ya watu maarufu, wa majina ya watoto au watu wa karibu wa watu maarufu na watu wazito na ujue jinsi ya kutumia hizo namba unapokuwa na demu ili akuone wewe ni mtu wa maana ambaye unaweza kumsaidia.

Hapo ndo utakula madem wa chuo kibao tu bila gari.

Kinyume cha hapo ni utafute hela, ununue gari la kutembelea na uwe na geto la self-contained lenye flat screen ya nchi 50 au zaidi na external storage yenye mamuvi na maseries kibao na friji ambayo haikauki wine na juisi za box za Azam. Ukiwa na levo hiyo ya maisha madem wa chuo utawala sana pia.
Fact mkuu nmekuelewa Sana🔥🔥
 
Nakumbuka nimekula dem Kwa ahadi ya kumnunulia gari. Baadae nikalala mbele
 
Back
Top Bottom