SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,562
Mzeee wa hadithi oya weeeeeEndelea kukaza , upo hatua za mwanzo
Mzeee wa hadithi oya weeeeeEndelea kukaza , upo hatua za mwanzo
Si umesema yupo second year au au ni form 2 hahahaAge yake Ni 17-19 mkuu haizid hapo ko lazma uongo uwe mwingi tu
Huyu binti ana bahati mbaya sana maishani mwake kukutana na mtu kama wewe.Habari za muda huu wapendwa katika bwana,natumaini nyote mu wazima.
Niende moja kwa moja kwenye mada,Leo mchana katika mizunguko angu ya hapa na pale nkakutana na demu ambae niliwahi kumfukuzia kimtindo nikiwa 2nd year but hatukufikia popote coz binti alkua ka mtoto wa geti Kali kimtindo..
Leo nilivyokutana nae,sikusita kuomba namba na kukumbushia mawili matatu,namba nilipewa.
Nimekaa nimetulia jioni ya leo nkaona nimchombeze tena kanitolea nje....
Wataalamu wa rada,mabaharia wapi nimekosea..
Nimepanga kumpotezea sema nimekuja kuchukua madesa incase fursa nyingine ikipatkana..
Au niongeze utundu gani nmnase Leo tumeishia apo.
Umri wake una range 17-19.
No greater love#
Basi Happ hakuna fomula maana umri huo mapenzi ni JUST A GAME hamakini na chochote kwenye contei bali kumtongoza tu Basi
😂😂Ndo ivyo mkuu nkua naunga ungaNimecheka sana ''eti niwe dereva wako mtiifu''
Mimi nlianza kujuana nae nikiwa 2nd yearSi umesema yupo second year au au ni form 2 hahaha
Hakika....sema skua na chakupoteza mkuu Ni either akubali au akatae Basi nifate mengineNiliyoyaona makosa yako ni mengi
-kwanz unaharaka sana
-,unatumia hisia wakat wa kutongaza (labda umri wako mdogo)
-unaonyesha lengo lako mapema
-hutakiw kutuma sms ndefu/kujieleza kwing
-pima mazngr au akil ya mwanAmke wakt husik kabl ya kutoa ujumbe
-onyesha ujali sio kumpend san kam bwege
-umri wa huyo bint anatongozwa kwenye viband vya ice cream
-jitahd kucht kwa wasapu inAwez kukubeba kwakuw n fully options.
Hapo alipokuambia usimku mwema
Ungemjibu usiku mwema ili iweje mbwa wewe umenikataa


Mkuu umemaliza kila kitu. Huyu dogo hna sound kabisa. Labda ndio anaanza kujifunza maana anampa nafasi demu ya kumkataa kabisa.Unatongoza Unamuuliza Demu ,.... Hunitaki?.
Unatongoza unamwambia Demu ... Vipi kuhusu ombi langu?.
Mbona Kila siku nawapa shule za Hawa viumbe lkn hamuelewi tuu?.
mwanamke yoyote anataka " attention and Desire " yaan mwanamke anataka wewe umtake .. na ukishaonyesha kumpa hivo viwili, Huwa Sasa Mpira ni wake , anakua na power ya kuexercise u feminine wake .....JAMBO AMBALO MTONGOZAJI HUTAKIWI KULIRUHUSU.
mwanamke unatakiwa umtongoze katika Angle ya kumfanya yeye akufukizie wewe ,yaan ajione akikukosa atakua kapoteza bahati.
nadhan inabidi nianze kuwaandilia Vi -PDF niwalete humu.
Vijana hamjui kutongoza kabisaaaaa
, kila chatting ya mtu ya kutongoza inachekesha ikisomwa na mwingine 
Ina maana kibuti cha huyu sio negotiable labda huenda akakubaliwa!!??
Sasa huyo demu nae ni mtu mzima? Ukataaji wake ni wakitoto kabisa. Mimi huyo ningemtongoza leo nakumtomba kabisajapo wamekuponda sana mwamba ila nikupe tano ya kujaribu. kutongoza ni kazi sana ..yani kumshawishi mtu mzima mpaka akubali sio ishu ndogo mjue
Ladies and gentlemen, brothers and sisters....its Fridaaaaayyyyyy !






Nilikua nauliza vile coz Sina Cha kupoteza...yaanii akatae akubali nothing bad datz y mkuu...
Playboy carti she tryna be cray😂😂Ndo ivyo mkuu nkua naunga unga
Mimi nlianza kujuana nae nikiwa 2nd year