Kwanza unakosea sana mimi nikichukua namba kwa demu naweza kukaa hata week sijamtafuta na mara nyingi anakuwa hachomowi halafu punguza shobo na demu mara ya kwanza siku ya unaweza mtumia usiku mwema na shughuli inaanzia hapo akiuliza ww nani unaanza story hapo sasa sio umepewa namba asubuh mchana tayari ushaanza usumbufu text kibao usiku tena text punguza shobo na hao viumbe.Habari za muda huu wapendwa katika bwana,natumaini nyote mu wazima.
Niende moja kwa moja kwenye mada,Leo mchana katika mizunguko angu ya hapa na pale nkakutana na demu ambae niliwahi kumfukuzia kimtindo nikiwa 2nd year but hatukufikia popote coz binti alkua ka mtoto wa geti Kali kimtindo..
Leo nilivyokutana nae,sikusita kuomba namba na kukumbushia mawili matatu,namba nilipewa.
Nimekaa nimetulia jioni ya leo nkaona nimchombeze tena kanitolea nje....
Wataalamu wa rada,mabaharia wapi nimekosea..
Nimepanga kumpotezea sema nimekuja kuchukua madesa incase fursa nyingine ikipatkana..
Au niongeze utundu gani nmnase Leo tumeishia apo.
Umri wake una range 17-19.
No greater love#View attachment 2517801
Ni kweli tupuuUnatongoza Unamuuliza Demu ,.... Hunitaki?.
Unatongoza unamwambia Demu ... Vipi kuhusu ombi langu?.
Mbona Kila siku nawapa shule za Hawa viumbe lkn hamuelewi tuu?.
mwanamke yoyote anataka " attention and Desire " yaan mwanamke anataka wewe umtake .. na ukishaonyesha kumpa hivo viwili, Huwa Sasa Mpira ni wake , anakua na power ya kuexercise u feminine wake .....JAMBO AMBALO MTONGOZAJI HUTAKIWI KULIRUHUSU.
mwanamke unatakiwa umtongoze katika Angle ya kumfanya yeye akufukizie wewe ,yaan ajione akikukosa atakua kapoteza bahati.
nadhan inabidi nianze kuwaandilia Vi -PDF niwalete humu.
Vijana hamjui kutongoza kabisaaaaa
Habari za muda huu wapendwa katika bwana,natumaini nyote mu wazima.
Niende moja kwa moja kwenye mada,Leo mchana katika mizunguko angu ya hapa na pale nkakutana na demu ambae niliwahi kumfukuzia kimtindo nikiwa 2nd year but hatukufikia popote coz binti alkua ka mtoto wa geti Kali kimtindo..
Leo nilivyokutana nae,sikusita kuomba namba na kukumbushia mawili matatu,namba nilipewa.
Nimekaa nimetulia jioni ya leo nkaona nimchombeze tena kanitolea nje....
Wataalamu wa rada,mabaharia wapi nimekosea..
Nimepanga kumpotezea sema nimekuja kuchukua madesa incase fursa nyingine ikipatkana..
Au niongeze utundu gani nmnase Leo tumeishia apo.
Umri wake una range 17-19.
No greater love#View attachment 2517801
Lecture kazi unayo, vijana wa siku hizi wanazidi kuwa wazembe shenzi zao.Unatongoza Unamuuliza Demu ,.... Hunitaki?.
Unatongoza unamwambia Demu ... Vipi kuhusu ombi langu?.
Mbona Kila siku nawapa shule za Hawa viumbe lkn hamuelewi tuu?.
mwanamke yoyote anataka " attention and Desire " yaan mwanamke anataka wewe umtake .. na ukishaonyesha kumpa hivo viwili, Huwa Sasa Mpira ni wake , anakua na power ya kuexercise u feminine wake .....JAMBO AMBALO MTONGOZAJI HUTAKIWI KULIRUHUSU.
mwanamke unatakiwa umtongoze katika Angle ya kumfanya yeye akufukizie wewe ,yaan ajione akikukosa atakua kapoteza bahati.
nadhan inabidi nianze kuwaandilia Vi -PDF niwalete humu.
Vijana hamjui kutongoza kabisaaaaa
Makosa ya kutokupitia JANDO ndio haya,hebu nisaidie namba ya Sara nikufundishe kutongoza kijana,njoo PMHabari za muda huu wapendwa katika bwana,natumaini nyote mu wazima.
Niende moja kwa moja kwenye mada,Leo mchana katika mizunguko angu ya hapa na pale nkakutana na demu ambae niliwahi kumfukuzia kimtindo nikiwa 2nd year but hatukufikia popote coz binti alkua ka mtoto wa geti Kali kimtindo..
Leo nilivyokutana nae,sikusita kuomba namba na kukumbushia mawili matatu,namba nilipewa.
Nimekaa nimetulia jioni ya leo nkaona nimchombeze tena kanitolea nje....
Wataalamu wa rada,mabaharia wapi nimekosea..
Nimepanga kumpotezea sema nimekuja kuchukua madesa incase fursa nyingine ikipatkana..
Au niongeze utundu gani nmnase Leo tumeishia apo.
Umri wake una range 17-19.
No greater love#View attachment 2517801
Nakazia hapaKwa ninavyoona huyu Sarah anakudharau... itakuwa kuna kitu huna mfn hela, status nk, haoni future btn u 2, pia she is in serious relationship....au alishatendwa yupo kwenye recovery mode... achana nae...
Another mistake ulikuwa na haraka sana na maneno mengi.. wenzio hatufanyi hivyo... unauliza umekula? Kabla hajajibu salio linasoma anaishia kukushukuru... then unampotezea mpaka akutafute...akipiga hupokei unamsomesha tena salio.. na short msg ..nipo busy nikiwa free nakucheck....
Sasa maelezo ya huu utongozaji ya kitoto lazima tetere akuponyoke....
Ushauri....muda huu unaopoteza kumwazia mtu anaekudharau ungeutumia kupanga issue za mkwanja... ungekuwa na cha maana kichwani.
Kwa akili hizi ni sawa ulivyokataliwa.Habari za muda huu wapendwa katika bwana,natumaini nyote mu wazima.
Niende moja kwa moja kwenye mada,Leo mchana katika mizunguko angu ya hapa na pale nkakutana na demu ambae niliwahi kumfukuzia kimtindo nikiwa 2nd year but hatukufikia popote coz binti alkua ka mtoto wa geti Kali kimtindo..
Leo nilivyokutana nae,sikusita kuomba namba na kukumbushia mawili matatu,namba nilipewa.
Nimekaa nimetulia jioni ya leo nkaona nimchombeze tena kanitolea nje....
Wataalamu wa rada,mabaharia wapi nimekosea..
Nimepanga kumpotezea sema nimekuja kuchukua madesa incase fursa nyingine ikipatkana..
Au niongeze utundu gani nmnase Leo tumeishia apo.
Umri wake una range 17-19.
No greater love#View attachment 2517801
Kifupi wewe ni mpumbavu, ningekuwa moderator ningekupiga ban la mileleHabari za muda huu wapendwa katika bwana,natumaini nyote mu wazima.
Niende moja kwa moja kwenye mada,Leo mchana katika mizunguko angu ya hapa na pale nkakutana na demu ambae niliwahi kumfukuzia kimtindo nikiwa 2nd year but hatukufikia popote coz binti alkua ka mtoto wa geti Kali kimtindo..
Leo nilivyokutana nae,sikusita kuomba namba na kukumbushia mawili matatu,namba nilipewa.
Nimekaa nimetulia jioni ya leo nkaona nimchombeze tena kanitolea nje....
Wataalamu wa rada,mabaharia wapi nimekosea..
Nimepanga kumpotezea sema nimekuja kuchukua madesa incase fursa nyingine ikipatkana..
Au niongeze utundu gani nmnase Leo tumeishia apo.
Umri wake una range 17-19.
No greater love#View attachment 2517801
huyu alifaa hata Viboko.Lecture kazi unayo, vijana wa siku hizi wanazidi kuwa wazembe shenzi zao.
Kabisa chief.huyu alifaa hata Viboko.
Na mbaya zaidi, hajakulia kile kipindi chetu Cha kutokua na simu.
Demu anasoma shule ya Mkoa mwingine,
Unaandika Barua yenye Kurasa sita.
Hawa madogo wangeweza kweli??
Si Barua nzima ,ingejaa maswali utadhani unafanya post internship examination?.
WANAWAKE HAWAPENDI MASWALI, NI NATURAL DEEPEST NEEDS YA WAO KUTOTAKA MASWALI. IN FACT WANADAM TUMEUMBWA, KUTOKUTAKA MASWALI .
Ungekua huna cha kupoteza usingeleta huku jukwaani kuomba ushauri
Mnunulie pipi mwenzio mlambe pamoja


Aendelee tu kupiga punyeto until further noticeKwa akili hizi ni sawa ulivyokataliwa.
Hivi bado kunawatu wanatongoza kumbe?
Evelyn Salt hebu shauri wavulana hawa
Habari za muda huu wapendwa katika bwana,natumaini nyote mu wazima.
Niende moja kwa moja kwenye mada,Leo mchana katika mizunguko angu ya hapa na pale nkakutana na demu ambae niliwahi kumfukuzia kimtindo nikiwa 2nd year but hatukufikia popote coz binti alkua ka mtoto wa geti Kali kimtindo..
Leo nilivyokutana nae,sikusita kuomba namba na kukumbushia mawili matatu,namba nilipewa.
Nimekaa nimetulia jioni ya leo nkaona nimchombeze tena kanitolea nje....
Wataalamu wa rada,mabaharia wapi nimekosea..
Nimepanga kumpotezea sema nimekuja kuchukua madesa incase fursa nyingine ikipatkana..
Au niongeze utundu gani nmnase Leo tumeishia apo.
Umri wake una range 17-19.
No greater love#View attachment 2517801