accountant D
Member
- Dec 17, 2013
- 46
- 17
- Thread starter
- #21
Mie nakuombea uipate hii kazi, fundisho katika siku za usoni kama huifahamu ofisi itakayofanyika interview basi ni vizuri ukaenda kuitafuta siku mbili/tatu kabla ya interview ili kuepuka kuchelewa. Kila la heri.
kweli nimepata funzo.sitafanya hii mistake tena..