Nimecheka mpaka machozi

Nimecheka mpaka machozi

junior252

Senior Member
Joined
May 3, 2015
Posts
141
Reaction score
96
Jamaa analala yeye na mke wake na watoto wote chumba kimoja. Akamwambia mke wake wacha tujinyooshe wakishalala watoto, ukiona nawasha kibiriti nazima ujue nakuita njoo kwangu... Mke Akakubali, sawa mume wangu, mke ukamchukua usingizi akalala.

Mume akaanza kuwasha na kuzima.
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima...
Na mke kalala...

Mmoja kati ya watoto akamwambia ndugu yake..
"Dogo mwamshe mama yako asije akatuunguza huyu -----...".
 
Nikiangalia avata yako na jinsi ulivyoweka mikono hupendezei kuchangia mada kwa style hizi... Vinginevyo we ni mnafiki

Avatar hainizui ku comment ntakavyo alafu apo nimecomment kuna ubaya gani mume kudai haki kwa mkewe ni dhambi? Au nimetukana?
 
Mnaodai hii haichekeshi mnanishangaza sana, everyone has different sense of humor ndio maana Kingwendu ana make money lakini mi hata dakika tano siwezi kumuangalia. So if you don't like it, piga kimya instead of ruining it for everyone.
 
Back
Top Bottom