Nimechanganyikiwa mwezenu

Nimechanganyikiwa mwezenu

dtf

Senior Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
121
Reaction score
12
MIMI ni mdada ambaye nimepata matatizo,

nilikuwa nina mpenz wangu, kwa kweli alinipenda sana.Kila nikichohitaji amenisaidia.

Wik iliyopita kuna mkaka alikuwa ananisumbua sana kuonana na mimi nikaamua kukubali kuonana nae ili nimsikilize anachotaka kuniambia.

Bahati mbaya mchumba wangu kasikia kila kitu,kaniacha hataki kabisa kunisamehe na kila nimpigiapo simu hapokei na saa nyingine anakata.

Naomba msaada wenu wakuu nifanye mbinu gani anisamehe?

Hadi mama yangu kaniombea msamaha lakini mchumba wangu kakataa.

Nifanyeje? jaman nimechanganyikiwa.

Naomba msaada wa mawazo.
 
Kuwa mkweli naye, halafu vumilia kidogo hizo ni hasira atarudi kwako..... nawe subiri kucall kwa mda!!
 
Hahahaaaaa mapenzi haya.....

sa we huyo mkaka ulienda kumsikiliza nini mlishindwa kusikilizana kwenye simu kweli!!!!!!

kuna mtu aliwahi kuniambia "Choices have consequences" sasa ndio hizo consequence waziface now

nenda nae taratibu tu though inauma kama hivyo ila anaweza kuja kukuelewa...........
 
hapo tu ndipo naposhindwaga waelewa dada zetu yan mtu anajua kabisa hadi lengo la jamaa et bado anaenda msikiliza o jamaa anaongea kwa alama za vidole hvyo ndo ungeweza muelwa anachohitaji embu amken huko usingizi mlikolala jaman mnajidhalilisha alafu utakuta mtu na elimu yake kbsa huyuuu mama next anza kuomba ushaur kabla hujagegedwaaa
 
Mpe muda,hasira zikipungua/zikiisha mtafute ujishushe muyamalize.

Mmh hivi kina mwajuma ndala ndefu wapo tuuu??inaelekea aliepeleka udaku kashindilia haswaaaa
 
Sijaelewa mchumba wako alisikia kila kitu inamaana na yeye alikua hiyo sehemu mliyokutana.
Funguka zaidi
 
Mh...wadada tuna kazi...hivi ukafunga na safari kabisaa kumfuata huyo mjamaa..hata hukujiuliza mara mbili pengine mwenzio alikua anania ya kukuharibia...maji yakishamwagika hayazoleki kilichobaki chukua tambara ujaribu kuyafuta na kurudisha ndooni km utafanikiwa...mwache mchumba wako hasira zimeisha ukaombe msamaha kwa mara nyingine usichoke dada ndio maisha ila nextime angalau umtonye mwenzio utajenga uaminifu
 
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman
 
Bora huyo alokaa kimya. Mimi hata sijishughulishi na wew milele yote.
Sema ulienda kugegedwa sema hujatuambia

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom